TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Polisi wameendelea kuingilia kazi za wanahabari pindi wanapo ripoti habari zinazo wagusa wao moja kwa moja na kuamua kuziba mdogo. Mwandishi Francis Godwin wa Iringa anashikiliwa na polisi Iringa kwa kuripoti maandamano ya wanafunzi Iringa.
Bonyeza hapa Francis Godwin ni mzee wa matukio daima
Bonyeza hapa Francis Godwin ni mzee wa matukio daima