holypotato
Senior Member
- Sep 20, 2010
- 192
- 219
vichwa vyao ni vya kufugia nywele tuu.
Polis ni kama robots za sisiem
Polis ni kama robots za sisiem
duhu. mimi nilidhani chadema na ccm damu damu lilipokuja swala la sensa? kumbe ccm wamewageuka chadema sasa? hongera polisi kwa kuwadhibiti wahuni wanaoaka kufanya vurugu IringaSasa hivi sio mapambano kati ya CHADEMA na Polisi bali kuna mkakati maalum wa kuwafanyia vitendo vya HUJUMA na UNYAMA viongozi wa Chadema . Habali ambazo zimekwisha vuja kutoka ndani ya vyombo vya USALAMA zimeeleza hivyo. Chadema wanatakiwa wawe makini na polisi hawa maana wamekwisha agizwa kufanya lolote hata kuua
vichwa vyao ni vya kufugia nywele tuu.
Polis ni kama robots za sisiem
poa tu. kama sensa yamefanyika. hata yakifanyika kwa chadema ni sawa tu. waachie askari wapige nyaramba kuwadhibiti wahunikuna maelekezo maalum ya kuwashughurikia viongozi wa chadema. Ili kutimiza azima hiyo, watawekewa vikwazo na mitego ya hapa na pale ili viongozi wa chadema waghazabike na wabaya wao wapate sababu ya kuwafanyia unyama. Kuna hatari ya nchi kuingia kwenye machafuko kama hila hii itafanikiwa
Haya ndio matatizo ya kukariri.Asiye fuata maagizo ya serikali ni mpuuzi ndo mlivyokuwa mnasema wakati Watu wanakataa kuhesabiwa Leo na nyie mmekataa maagizo ya serikali.What comes around goes around andamaneni Kama hamjaacha meno chini
Kunguru Mweusi mods wameshakutolea mbavunipoa tu. kama sensa yamefanyika. hata yakifanyika kwa chadema ni sawa tu. waachie askari wapige nyaramba kuwadhibiti wahuni