Polisi Dar, yawahoji kundi la Orijino Komedi, walazwa Kolokoloni

JAMANI TUSICHANGIE KWA USHABIKI NA MIHEMKO TWENDENI TUKASOME SHERIA KWANZA PENAL CODE (CAP. 1669 YA MWAKA 2002) SECTION 178 SUBSECTION 1&2; NDIO TUJE TUCHANGIE SS.....ALAMSIKI
 
Jaman hii nchi cjui lini itabadilika yaan hapa Tz inssue ikianza utackia inakoishia sas aibu yaan kmy kmy
 
katika Kitu ambacho sitaki kukizoea kwnye hii nchi ni Polisi + Jeshi.
hawa watu ni wazuri saana ukiwa Katika upande Sawa . ila usijaribu kuwatekenya .. yaani unaweza kua Umecheka nae 2minutes ago ..lakini dakika Mbili Mbeke Usiamini ni Yeye ulikua unacheka nae.

Poleni kina Joti kwa Kufanya Mzaa na Nyara za Jamuhuri.
Acha kuwavimbisha mibichwa hawa ni walinzi wa raia na mali zao, hizo nguo sio personal property ni identity ya kazi wanayoifanya kwa ajili ya watanzania, akina joti ni watanzania wamevaa kufurahisha harusini hawakuvaa kufanyia uharifu.

Polisi na jeshi ni ndugu ni jamaa zetu ukisema hutaki mazoea nao basi wafungiwe kwenye cages kama simba au chui!
 
1471468990435.jpg
 
waambie hata USA kuvaa mavazi ya kijeshi kwa ajili ya filamu ni kibali
hata Nchi yoyote unayotumia magari au vifaa vya kijeshi kwa kuchezea filamu au tamthiliya ni kwa kibali maalum.
Huwezi vaa nguo hizo km ww si mhusika eti ukatolee mahari au ukamkamate mgoni wako halafu utarudisha,
nimeamini kweli kina Joti na Masanja ELIMU ELIMU elimu hakuna
Hicho kibali kinaitwaje na kinaombwaje kwenye nchi hizo ulizozitaja?

Sipendagi kuweka picha zangu humu mitandaoni, ningekuwekea picha niliyopiga na polisi wa NYPD, tukiwa gardeni ya Chinatown na sikuomba kibali kuvaa nguo zao.
 
JAMANI TUSICHANGIE KWA USHABIKI NA MIHEMKO TWENDENI TUKASOME SHERIA KWANZA PENAL CODE (CAP. 1669 YA MWAKA 2002) SECTION 178 SUBSECTION 1&2; NDIO TUJE TUCHANGIE SS.....ALAMSIKI
Tubandikie hapa hizo penal code zilizotungwa na wachache tuone zinaeleza nini, maana lazima interpretation iwe ina cite uhusika
 
Pathetic.
Jeshi la polisi hovyo kabisa. Kosa gani ambalo watu hawa wamefanya. Jeshi la polisi tumieni weledi. mbona mnashindwa kuwakamata wanaotorosha nyara za serikali na majambazi au mafisadi? Nguo zinazoshabiana na uniform zenu ni vazi tu na hakuna sheria yoyote inayosema ni kosa mtu kuvaa nguo zinazoshabia rangi na uniform zenu. Bado jeshi la polisi linafanya kazi kwa misingi ya kikoloni kabisa. Kwani hao waigizaji walivaa hizo uniform na kwenda kufanya uharifu?
Watu wanavaa Vazi linaloshabihiana na vazi la kifalme au la kiongozi mkuu wa dini la kini hawakamatwi, sembuse hizo zinazoshabihiana na uniform zenu!! kwa mtindo huu itafika mahala mtakama watu wanavaa suti inayoshabihiana na suti ya Rais sasa. SIjawahi kuona katika ulimwengu huu jeshi la hovyo kama jeshi la polisi Tanzania. Bado mnaishi enzi za ujima??
mkuu usipanic hata kama mwaka huu wamekutosa. mwakani pia kuna usahili wa polisi
 
Huko ndo wanaenda waliofeli?
Nilidhani jeshi la polisi?
Basi nifanyie mchakato mkuu.
Hakuna jeshi litakufaa maana uelewa wako mdogo sana inaonekana unajua tu kusoma na kuandika ila hujapoteza chochote jaribu kuwekeza kwa nwanao yasimkute yaliyokukuta wewe
 
Wewe unaye jiita mwenye elimu (japo shule yako ni ndogo) hebu tupe kifungu cha sheria na tafsiri yake kuhusu mavazi ya vyombo vya ulinzi na usalama
Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni za
Makosa ya Jinai, sura ya 16 na marejeo
yake ya mwaka 2002, kifungu cha 178 (1)
na (2) kinachozungumzia makosa dhidi ya
sare za majeshi ya ulinzi na usalama,
kinabainisha kuwa ni kosa kisheria kwa
mtu yeyote ambaye siyo mtumishi wa
majeshi ya ulinzi na usalama kuvaa
mavazi yanayotumiwa au kushabihiana na
sare za majeshi hayo bila kibali kutoka
kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.

#ubishi mwingine haunaga maana.

Jamaa hao walikua na sare zenyewe kabisa(sio tu zilikua zikishabiana) zikiwa na vyeo teyali na hata mikanda yao.

Sheria hapo juu inasema kama anaetaka kutumia sale hizo anapaswa aombe kibali kabla kwa mamlaka husika,Bado mnasema wanaonewa.

wanaosema mzigo ubebe punda,
mtaji wao umasikini na ujinga,
akili kunguni mstarimtapamga,
kila mwaka sihua mnaongezeka,
bora mshonewa vesiti za kanga
mnazo akili popo kunyea anga,
hapo ni mwanzo yamewaludia,

***********************

grade kupanda vipi shule kata,
shule masikini walimu niukata,
akisoma mtaji wenu siutaisha,
ili ashindwe tena kuwachagua,
Nawasio advance etini xxxxx,
Prof ulianza......na kabla yakua,
tatizo mtu mfumo chamama,

*************************

utapikiaje kuni usinuke moshi,
tunalo janvi la kusemea jamii,
 
Kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni za
Makosa ya Jinai, sura ya 16 na marejeo
yake ya mwaka 2002, kifungu cha 178 (1)
na (2) kinachozungumzia makosa dhidi ya
sare za majeshi ya ulinzi na usalama,
kinabainisha kuwa ni kosa kisheria kwa
mtu yeyote ambaye siyo mtumishi wa
majeshi ya ulinzi na usalama kuvaa
mavazi yanayotumiwa au kushabihiana na
sare za majeshi hayo bila kibali kutoka
kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania.

#ubishi mwingine haunaga maana.

Jamaa hao walikua na sare zenyewe kabisa(sio tu zilikua zikishabiana) zikiwa na vyeo teyali na hata mikanda yao.

Sheria hapo juu inasema kama anaetaka kutumia sale hizo anapaswa aombe kibali kabla kwa mamlaka husika,Bado mnasema wanaonewa.

wanaosema mzigo ubebe punda,
mtaji wao umasikini na ujinga,
akili kunguni mstarimtapamga,
kila mwaka sihua mnaongezeka,
bora mshonewa vesiti za kanga
mnazo akili popo kunyea anga,
hapo ni mwanzo yamewaludia,

***********************

grade kupanda vipi shule kata,
shule masikini walimu niukata,
akisoma mtaji wenu siutaisha,
ili ashindwe tena kuwachagua,
Nawasio advance etini xxxxx,
Prof ulianza......na kabla yakua,
tatizo mtu mfumo chamama,

*************************

utapikiaje kuni usinuke moshi,
tunalo janvi la kusemea jamii,
Mkuu unasumbuliwa na tafsiri kisheria ndio maana umei quote unavyotaka wewe hapa.

Sheria sio novel kwamba unaisoma kama ilivyo kwenye kurasa, unatakiwa kuwa guided na interpretation na regulations yake. Pia wakati mwingine inabidi kutumia references, vinginevyo tutashindwa kujua kama ulichotuwekea hapo ndivyo kinavyotumika haswa.
 
Back
Top Bottom