johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,693
- 143,122
Gazeti la Mwananchi lilipomuuliza Kamanda Muliro wa Kanda maalumu kuhusu kama ameshatoa kibali kwa Chadema Kufanya Mkutano wa Bandari Day huko Temeke Kesho Kamanda alisema vibali hutolewa wilayani
Hata hivyo alipofuatwa RPC Kungu Malulu wa Temeke alisema aulizwe Kamanda Muliro
Source: Mwananchi
Hata hivyo alipofuatwa RPC Kungu Malulu wa Temeke alisema aulizwe Kamanda Muliro
Source: Mwananchi