mpalu
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 2,521
- 870
mkuu kwa nn uende peke yako sasaNiligombana na wife baada ya kwenda fiesta peke yangu tukawa tumechuniana ila baada ya kuingia hapa nimecheka mpaka ameniuliza unacheka nn?.. hongera mkuu umenirudishia amani ndani kwangu.