Polisi apigwa risasi na kufa


Uje basi uwahutubie hayo mawazo yako wana Arusha. Uchungu wa mwana aujua mzazi. kwani polisi walipoua hawakujua kuna ndugu zao kati ya waandamanaji?
hii iwe ya pande zote na siyo polis wakishakamata bunduki basi wanaona uhai wa kila mtu upo mikononi mwao.
 
ebwana daaahh,sasa hizi moviez na series zinaharibu watu..kama prison break vileeeee..
 
mh na hii valentine inawezekana alipanga kuchakachua mke wa jamaa, alipomstukia akaamua kumtoa roho!
 
It is called HIT AND RUN very dificult to solve no fingerprint,no any DNA evidence,car probably stolen or had fake number,gun probably obtained illegal,hitman could now be in bujumbura...TOUGH.The colour and model of a car groundless so many same car lets hope the victim had a beef with someone which will help to give a hunch.
 
A-a-ahaa! Hapa mkuu ndio unazidi kuharibu baada ya kutengeneza sasa hu G Lema anaingije kwenye tukio hili?.
 

Kwa hili ndo mnamtaka G.Lema atoe tamko? Lema piga kimya wala usi comment chochote.

Mbona mengine humwombi G.Lema atoe comments?
 
When a system in equilibrium is subjected to a change,the system will also try to change so as to halt the effect of that changes until stability is re-attained.Tazama Iraq,Afghanistan etc
Mkuu masika , hii inakubaliana na Le Châtelier's principle , sikujua kama application yake inaweza kuwa extended mpaka kwenye siasa za sisiem .
 
siamini mtu unafurahia binadamu mwingine kutoa roho ya mtu

jamani hii haijakaa vizuri, hakuna cha safi sana, hawa polisi sasa watakuja kama mbogo kwa hiyo wataanza kusakama sana wakazi wa arusha kwa vile mwenzao kauwawa. na watu wasichukulie nila kisiasa kwanza mpaka uchunguzi uwepo wa kutosha
 
Kwa waliowahi kukaa arusha toka miaka ya tisini huu mchezo wa risasi ni kawaida sana.enzi hizo toyota staut iliyosheheni bia za magendo toka kenya inakimbizwa na pasati ya polisi, yaani ilikua mshikemshike,pia enzi za wale kina 'chonjo' waliokuwa wanakwapua magari.
Tukirudi huko patakua hapatoshi.
 

mkuu ... naona umevaa miwani ya macho halafu bado unaangalia kwa kutumia magnifying lens .... duu .... sasa ukipewa silencer riffle si utamaliza
 

Da au usikute wako syndicate moja sasa wakashindwa kuelewana kwenye mafungu!!! Nawaza kwa mbali tu, ha ha ha. Sipendi kufa ila kwa askari basi tena, sina imani nao kabisa!!! Utafikiri si binadamu wala ndugu zetu!!! Niliipenda ile ya Misri jeshi na baadhi ya askari walikataa kabisa kuwadhuru wananchi, wakijitetea chini chini kuwa "We can't kill our country men, seen a blood shed!!! "
 
ni kweli lakini furaha yangu iko pale pale, Awe amepaliwa na mfupa akafa awe amepigwa risasi kafa kwa uzinzi imradi polisi...kwangu mimi naona safi tu.

Sijui ukienda home ukaambiwa ni mtoto wa babayako mkubwa utasema nini sijui?
 
The fact that a car came rushing with its light on suggest that the killer had their target undersurveilance,they knew he was on that spot to came rushing like that suggest they personal know the victim that he has habit to be on that spot at that time or it was a well cordnated attack .someone might have been on his tail and contacting the killer.police must go after phone record they should trace every call made within 50 metre of the crime scene at the time of the attack.
Those record can be obtained from mobile phone service provider once the number obtain it could provide a link to the crime. The hitman though was not a pro ,the mistake he made geting out of a car and go to shoot the victim ,any witness could give his description to the law.if in usa a surveillance camera would have picked him.a pro hit while a car is moving.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…