Polisi apigwa risasi na kufa

Haijalishi ana hatia au hana... haijalishi ana cheo kidogo au la, haijalishi chochote, as long as ni polisi, he derseve wt he gt.
Alikuwa ni PC, yaani hakuwa na cheo chochote.
 
Safi sana,Taarifa za kiinteligensia ilikuwa kisingizio tu wangekuwa wanazifanya matukio ya ujambazi yangepungua sana kama siyo kuisha.Hongera wana Arusha
 
ni kweli lakini furaha yangu iko pale pale, Awe amepaliwa na mfupa akafa awe amepigwa risasi kafa kwa uzinzi imradi polisi...kwangu mimi naona safi tu.
Najua mkuu polisi walifanya mabaya mengi saana arusha ikiwa pamoja na kuchakachua tukio zima but kifo mkuu kinasikitisha saana!
 
kwani mauaji haya yana uhusiano wa ccm na chadema?
 
Watu wameichoka amani, kuna wengine wanatamani amani ipotee wafe kwa risasikwakuwa wameathirika wanaogopa kufa na miwaya.............
sipo pamoja na wewe hivo ni kauli za unyanyapaaaa mkuu!
 
kwani mauaji haya yana uhusiano wa ccm na chadema?

Ukisoma comments moja baada ya n yingine utagundua tu wala hutakuwa na haja ya kuangalia kwa tochi.

You can read btn the lines bro................
 
Ukisoma comments moja baada ya n yingine utagundua tu wala hutakuwa na haja ya kuangalia kwa tochi.

You can read btn the lines bro................
mkuu unatetea nini usiiingize ccm na uchadema hapa!
 
watu wengine wa ajabu kweli

Jana analamu alqaeda kujilipua au kuua watu ovyo leo anasema safi polisi kauwawa bila hata kupata details kamili .

Let us be consistent. Kitendo hiki kinatakiwa kukemewa. Naamin hata G lema akiongea bungeni atakemea.
 
halafu nashangaa hatujafika huku bado,sijui kwa nini wanalazimisha.
 
Najua mkuu polisi walifanya mabaya mengi saana arusha ikiwa pamoja na kuchakachua tukio zima but kifo mkuu kinasikitisha saana!
Mkuu sijui kama unaweza kunishawishi kuona polisi amekufa niwe na huzuni hasa ninapoiangalia picha hii
 

Attachments

  • cdm_denis.jpg
    223.1 KB · Views: 61


Wacha porojo wewe. Snippers wameshajipanga hapa kazi ndo kwanza imeanza kwa interval utakayoiona na kuisikia. Hakuna cha ujambazi hapa ni kwamba mauaji ya raia Arusha mpaka sasa watu wengi wana maumivu na polisi kuna uwezekano wakahama Arusha kwa jinsi hali itakavyowawia ngumu. Watawindwa kama Swala hadi wawe na adabu kwani wote walihusika kuua kama si kupiga ni kuelekeza na kupanga
 
Naomba unielewe mkuu, yaani mimi sijali polisi kapigwa au kafa kwa goma kwangu mimi poa tu imradi polisi kafa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…