magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,447
- 13,189
Kuna siku watamuhonga Hakimu akufunge ndio utapojua vizuri faida za rushwa.Ipo siku sifa zitamtokea puani...mi Kuna mwamba nakumbuka nlimpaga sh 800 na akaniachia kisa pikipiki bima imeisha muda....yle mwamba aishi miaka 10000...ana njaa na hela balaa