Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,077
- 1,438
Hivi lile zoezi la kung'oa matairi magariyanayopelekwa kituoni linatekelezwa?Pesa za kubrashia viatu.
Hivi lile zoezi la kung'oa matairi magariyanayopelekwa kituoni linatekelezwa?Pesa za kubrashia viatu.
Hata mifuko ikiondolewa watazificha kwenye bukta tu
Kama wwanatenda visivyo kasimamie mahakamani. Na huo ujinga utaisha.Hata kama huna kosa wakishang'amua kuwa umekosa, na ameshachukua leseni yako bora mmalizane. Mfano sheria ya zebra crossing, hakuna mahali inasema usimame na kuwasha double hazard hata kama hakuna mtu anayetaka kuvuka. Lakini wamesimamia hapo, na wanakusanya 10k kila siku. So lipi bora? Utoe 30k au 10k ulale mbele 🙂😛😵
Uache kufanya kazi ukasimame mahakamani kwa issue kama hiyo? Si utakua unaenda mahakamani kila siku? Na kutafuta ugomvi na Polisi wa eneo lako bila sababu.Kama wwanatenda visivyo kasimamie mahakamani. Na huo ujinga utaisha.
Huyo jamaa ata mimi nimeuona ni mmakunduchi kweli kweli, kwani ukimpa hela askari kuna shida gani?Kiukwel zile buk5 hua ni kusaidiana tuu maana wakisema kila kosa wawe wanachkua 30,nahis mshahara wote utaishia road..maana hata zebra sasa hiv wameanza komaa nayo,
Kuna askar anakaga pale magomen karib na kituo cha mwendokas,ukikanyaga zebra unae,
Sasa na mi tochi hii ya bagamoyo road leo si wataua watu leo..daah,alierekod msen*ge kwel.
Halafu pia unajua kama kesi za trafic mahakamani nyingi zinatakiwa zishughulikiwe siku hiyohiyo kama muda wa mahakama haujaisha?Uache kufanya kazi ukasimame mahakamani kwa issue kama hiyo? Si utakua unaenda mahakamani kila siku? Na kutafuta ugomvi na Polisi wa eneo lako bila sababu.
Jamaa alikua anataka sifaHahaha mkuu kaharibu ile mbaya, dah unaposafiri now tembea na 120 kwenda juu za kuwapa jamaa tu![]()
![]()
Sasa utaambiwa paki gari uache ufunguo uje kesho yake. Kisa?Halafu pia unajua kama kesi za trafic mahakamani nyingi zinatakiwa zishughulikiwe siku hiyohiyo kama muda wa mahakama haujaisha?
Sasa mtoa na mpokea rushwa wote wana hatia,nalenyewe limejirekod linacheka,hahahHuyo jamaa ata mimi nimeuona ni mmakunduchi kweli kweli, kwani ukimpa hela askari kuna shida gani?