LellozWho
Member
- Jul 13, 2021
- 89
- 121
Nina swali hili kitambo sana.
Sikua na uelewa kabla na nilidhani ni kawaida lakini nimekuja kufaham kuwa “SIO KWASABABU KITU KINAFANYA KAZI, BASI HAKIHITAJI MAREKEBISHO/MABADILIKO”
Kituo cha polisi kinatumikaje Kama STORAGE/YARD ya kutunza Vifaa au mali zinazokamatwa?
Kwa mtazamo wangu hii ni kero kubwa.
1/ vituo havina nafasi
2/msongamano unafanya kusiwe na mpangilio.
3/usumbufu.
4/kupoteza nafasi ya ajira.
kama mtu anaweza kua na eneo na kupata government contract, this is a big and huge business.
kama gari/vifaa/mali zote zinazo kwamatwa zikiwa zinapelekwa/pounded kwenye eneo hili basi hii ni ajira tosha.
unalipwa kwa kuhifadhimlipaji ni mmiliki/muhusika wa mali.
KAMA SIJAELEWA SYSTEM ILIVYO NA NIMEKOSEA KUELEWA TAFADHALI NIJUZE.
Sikua na uelewa kabla na nilidhani ni kawaida lakini nimekuja kufaham kuwa “SIO KWASABABU KITU KINAFANYA KAZI, BASI HAKIHITAJI MAREKEBISHO/MABADILIKO”
Kituo cha polisi kinatumikaje Kama STORAGE/YARD ya kutunza Vifaa au mali zinazokamatwa?
Kwa mtazamo wangu hii ni kero kubwa.
1/ vituo havina nafasi
2/msongamano unafanya kusiwe na mpangilio.
3/usumbufu.
4/kupoteza nafasi ya ajira.
kama mtu anaweza kua na eneo na kupata government contract, this is a big and huge business.
kama gari/vifaa/mali zote zinazo kwamatwa zikiwa zinapelekwa/pounded kwenye eneo hili basi hii ni ajira tosha.
unalipwa kwa kuhifadhimlipaji ni mmiliki/muhusika wa mali.
KAMA SIJAELEWA SYSTEM ILIVYO NA NIMEKOSEA KUELEWA TAFADHALI NIJUZE.