Police post ni yard?

LellozWho

Member
Jul 13, 2021
89
121
Nina swali hili kitambo sana.

Sikua na uelewa kabla na nilidhani ni kawaida lakini nimekuja kufaham kuwa “SIO KWASABABU KITU KINAFANYA KAZI, BASI HAKIHITAJI MAREKEBISHO/MABADILIKO”

Kituo cha polisi kinatumikaje Kama STORAGE/YARD ya kutunza Vifaa au mali zinazokamatwa?

Kwa mtazamo wangu hii ni kero kubwa.
1/ vituo havina nafasi
2/msongamano unafanya kusiwe na mpangilio.
3/usumbufu.
4/kupoteza nafasi ya ajira.

kama mtu anaweza kua na eneo na kupata government contract, this is a big and huge business.

kama gari/vifaa/mali zote zinazo kwamatwa zikiwa zinapelekwa/pounded kwenye eneo hili basi hii ni ajira tosha.

unalipwa kwa kuhifadhimlipaji ni mmiliki/muhusika wa mali.
KAMA SIJAELEWA SYSTEM ILIVYO NA NIMEKOSEA KUELEWA TAFADHALI NIJUZE.

3D20F0F2-9F3E-4FFD-823D-25B39CA41F68.jpeg
 
Nina swali hili kitambo sana.

Sikua na uelewa kabla na nilidhani ni kawaida lakini nimekuja kufaham kuwa “SIO KWASABABU KITU KINAFANYA KAZI, BASI HAKIHITAJI MAREKEBISHO/MABADILIKO”

Kituo cha polisi kinatumikaje Kama STORAGE/YARD ya kutunza Vifaa au mali zinazokamatwa?

Kwa mtazamo wangu hii ni kero kubwa.
1/ vituo havina nafasi
2/msongamano unafanya kusiwe na mpangilio.
3/usumbufu.
4/kupoteza nafasi ya ajira.

kama mtu anaweza kua na eneo na kupata government contract, this is a big and huge business.

kama gari/vifaa/mali zote zinazo kwamatwa zikiwa zinapelekwa/pounded kwenye eneo hili basi hii ni ajira tosha.

unalipwa kwa kuhifadhimlipaji ni mmiliki/muhusika wa mali.
KAMA SIJAELEWA SYSTEM ILIVYO NA NIMEKOSEA KUELEWA TAFADHALI NIJUZE.

View attachment 1856402
Halafu kwanini vituo vyao vinapakwa rangi ya blouse na skirt za shule? Hivi rangi zimeisha?
 
Back
Top Bottom