Hii ni ya uchaguzi wa 2005 huko Zanzibar, kuna mtu alii-film kutoka kwenye apartment yake ghorofani. Hizo sauti mnazosikia ni za kwake, mkewe na mtoto wanashangaa jinsi polisi wanavyofanyiza!
[media]http://www.youtube.com/watch?v=P1-YuxjdcvU[/media]
[media]http://www.youtube.com/watch?v=P1-YuxjdcvU[/media]