Polepople: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.

Polepople: Cuba mtungi wa gesi wa kilo 20 unauzwa TZS 2,000/=. Tanzania unauzwa 55,000/= TZS.

This is neither here nor there...; cha maana tujiulize kwanini hata tutumie hio gesi tunayonunua kutoka nje au tutumie kodi zetu kupunguza bei ya hio gesi badala ya kuboresha umeme ambao upo wa kumwaga watu watumie Umeme ? Ila ndio hivyo ukitegemea suluhisho kutoka kwa Mwanasiasa litakuwa la kiuana Siasa...

 
Nchi ina gesi asilia ya kutosha, makaa ya mawe, mabwawa ya kuzalisha umeme, upepo, joto ardhi, jua la kutosha, nk. Lakini ukija kwenye nishati ya majumbani kama umeme na gesi, ni gharama mpaka basi!

Nadhani tungekuwa na viongozi wenye maono, hizi changamoto zingekwisha. Huyo Polepole ana hoja ya msingi! Ni kwa nini mtungi ya gesi Cuba ubadilishwe kwa 2000 tu, halafu ukija Bongo unabadilishwa kwa 55,000)=?
 
CCM IMETEKWA KWA WANAMTANDAO
Watanzania bwana; kwani kipindi cha JPM gesi ilikuwa bei gani???? Tuacheni siasa za maji taka? Je kenya gesi ni bei gani, Uganda??? Tujilinganishe na wenzetu kwanza kabla ya kwenda Cuba; hata bei ya mafuta East Afrca sisi tupo chini... kwa siasa za hivi hatuwezi kujenga nchi yetu
 
Back
Top Bottom