Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,189
Anaandika Humphrey Polepole kupitia ukurasa wake wa Instagram:
"Ukiona ukiwasikiliza ndani ya moyo wako hawakupi amani ya moyo, ukiona wanatumia nguvu kubwa kukushawishi hata kwa mambo ya kawaida na bado unahisi na kuona kutokuwaamini, ukiona wakitajwa unahofia usalama wako, ukiona hauwezi kuongea kwa uwazi, uko sahihi..
Mtu huyo, ambaye nyuma yake kuna genge la mtandao, halindi, haheshimu, hathamini, hahangaiki wala hahangaishwi na utu wako kubagazwa, kubanangwa, kutindinganywa na kutokuheshimiwa!
Mimi sitatoa uhalali kwa mtu wa aina hiyo kuwa kiongozi kwenye nchi yetu, sitaonekana kwenye kituo chochote cha kupigia kura!
Siri - Saiz kinachowanyima amani yao na usingizi ni sisi kuwaachia na kuwasusia wanachoita uchaguzi wao, mimi naita kiini macho, wako bize kufanya mikutano ya hadhara na husikii masuala yanayobananga nchi yetu yakiwekewa mikakati ikiwemo Haki za watu, Usalama wa Raia, Vita dhidi ya Rushwa, Ufisadi na wizi uliokithiri wa rasilimali na madini yetu (utajiri wa nchi hii tuliopewa na Mungu wetu).
Mjuze siri hii na mwingine"
"Ukiona ukiwasikiliza ndani ya moyo wako hawakupi amani ya moyo, ukiona wanatumia nguvu kubwa kukushawishi hata kwa mambo ya kawaida na bado unahisi na kuona kutokuwaamini, ukiona wakitajwa unahofia usalama wako, ukiona hauwezi kuongea kwa uwazi, uko sahihi..
Mtu huyo, ambaye nyuma yake kuna genge la mtandao, halindi, haheshimu, hathamini, hahangaiki wala hahangaishwi na utu wako kubagazwa, kubanangwa, kutindinganywa na kutokuheshimiwa!
Mimi sitatoa uhalali kwa mtu wa aina hiyo kuwa kiongozi kwenye nchi yetu, sitaonekana kwenye kituo chochote cha kupigia kura!
Siri - Saiz kinachowanyima amani yao na usingizi ni sisi kuwaachia na kuwasusia wanachoita uchaguzi wao, mimi naita kiini macho, wako bize kufanya mikutano ya hadhara na husikii masuala yanayobananga nchi yetu yakiwekewa mikakati ikiwemo Haki za watu, Usalama wa Raia, Vita dhidi ya Rushwa, Ufisadi na wizi uliokithiri wa rasilimali na madini yetu (utajiri wa nchi hii tuliopewa na Mungu wetu).
Mjuze siri hii na mwingine"