Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

Polepole sio mtu mwema ni muhuni sana

Anayempa kazi yeye anamtumia tu kwa kumpa ujira.Ameona mleta mada ni mjingajinga tu,anapewa hela kiduchu kutetea ufisadi.
Serikali ya mauaji iliyopo madarakani inahaha sana, Yaani wanalipa watu kila kona kuja kutetea maovu yao, wanahaibika sana.
 
Sioni hoja hapa, hivi unafahamu hoja juu ya Mh. Pole pole? Je unakataa juu ya wepo wa CCM mtandao iliyopoka mamlaka ya CCM?...uhuni wa Mh. Polepole ni kuyasema hayo au ni upi?
 
Joins August 2025 mmepewa kazi ngumu sana kwa kweli,,,mbona viongozi wenu wa CCM hawajitokezi kumjibu pole pole
 
1756672295281.png
Kilaza SLUG hajui hata kudanganya!
😅 :peepoSpeed:

NB: 1. Kwa bei ya Polepole ya gesi,Cuba, nchi hiyo ingekuwa kimbilio la 'wanyonge' wote Duniani!
2. Hata kwa 'psychology' ya kiwango cha chini kabisa, ukiangalia tu macho yake na unyevunyevu wake, anapowasilisha 'story' zake nyingi, utaona kabisa huyu mtu ni muongo na nafsi inamsuta!
3. Wakati shujaa wetu, JPM, anatutoka, hivi viumbe vilivamia BOT na kuchota humo vilivyoweza kuchota! ... dhahabu yetu, pesa zetu za madafu na za kigeni ndizo sasa zinaendesha hizi harakati za akina polepole! WOTE WEZI TU!
 
Comrade Polepole ropoka yote kabla hujahukumiwa Kunyongwa HADI KUFA
 
Comrade Polepole ropoka yote kabla hujahukumiwa Kunyongwa HADI KUFA
Jenga hoja yenye mantiki mkuu.
Ukimwambia mtu 'ropoka' una maana gani?

Kuhukumiwa kunyongwa kwa kosa gani katenda?

Lini atakamatwa na je anajulikana anapoishi?
 
Pole pole ni hazina ya taifa. Tunapaswa kumlinda Kwa wivu mkubwa sana.
Kwakweli atujui tunataka nini.huyu aliefanya figisu uchaguzi serikali za mitaa..kusema kweli upinzani ni aibu
 
Uharifu wake upowanzi kwa sas anachokifanya leo analetaa uhuni kama alivyo kuwa na lugha za kidikteta kwenye awamu ya 5, Taifa letu kwa sasa hatuko tayari na kwa uhuni anaoufanyaa ima achache imaa aendelee kuwaa chawa na watu alionao kwenye paaziaahaijapatakutokea.
View attachment 3461675


Naona kuna kikosi kimejiunga jf mwezi wa nane wako special kwa ajili ya pole pole 😄 😆 😂
 
Uharifu wake upowanzi kwa sas anachokifanya leo analetaa uhuni kama alivyo kuwa na lugha za kidikteta kwenye awamu ya 5, Taifa letu kwa sasa hatuko tayari na kwa uhuni anaoufanyaa ima achache imaa aendelee kuwaa chawa na watu alionao kwenye paaziaahaijapatakutokea.
View attachment 3461675
Mmebakisha muda mchache sana mtage mafii
 
Kwakweli atujui tunataka nini.huyu aliefanya figisu uchaguzi serikali za mitaa..kusema kweli upinzani ni aibu
Hayo makosa ya nyuma ashaomba msamaha na tumemsamehe maana hakuna mwanadamu mwenye akili timamu asiyekosea. Acha tutambe nae Kwa Sasa.
 
Hayo makosa ya nyuma ashaomba msamaha na tumemsamehe maana hakuna mwanadamu mwenye akili timamu asiyekosea. Acha tutambe nae Kwa Sasa.
Basi na hao wanaokosea ni wanadamu kama yeye alivyokua anakosea
 
Back
Top Bottom