GE2025 Polepole: Samia anaahidi vitu vidogo vinavyoweza kufanywa na mkuu wa wilaya

GE2025 Polepole: Samia anaahidi vitu vidogo vinavyoweza kufanywa na mkuu wa wilaya

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
16,997
Reaction score
23,638
Kwenye press aliyofanya aliyowahi kuwa balozi wa Tanzania kutoka Cuba anayejulikana Kama Humphrey Pole pole amesema ameshangazwa na sera anazoahidi mgombea wa uraisi wa CCM Rais Samia kuwa ni sera ambazo hazikutakiwa kuahidiwa na Taasisi kubwa Kama ya uraisi.

Huwezi kuahidi wananchi kuwa wakikuchagua kuwa mgombea wa uraisi utawajengea soko kitu ambacho mmeshindwa kufanya miaka yako uliokaa madarakani Kama issues tu ya kusimamia mabasi ya mwendokasi ambayo mnapata hela nyingi kupitia nauli za raia na mmeshindwa kufanya marekebisho ya kutosha.

Je, hizo pesa zinaenda wapi? Je, Mambo gani makubwa mtafanya Kama hizi issue ndogo zinawashinda kutekeleza

Nini maoni yako juu ya kauli hii ya Polepole
 
Screenshot_20250926-100222.png
 
Juzi aliwahaidi Wana masasi kuwa wataleta umeme wa gesi kusini na kituo kimoja kitawekwa masasi.

Yani ishu ya kuweka kituo cha umeme masasi anatangazia raia na anataka watu washangilie.

Kuna muda Mungu anaadhibu watu kwa kuwaletea viongozi wabovu.

Kwenu watz kuwa na kiongozi wa aina hii ni adhabu kubwa sana mnnapitia kama taifa.
 
Juzi aliwahaidi Wana masasi kuwa wataleta umeme wa gesi kusini na kituo kimoja kitawekwa masasi.

Yani ishu ya kuweka kituo cha umeme masasi anatangazia raia na anataka watu washangilie.

Kuna muda Mungu anaadhibu watu kwa kuwaketea viongozi wabovu.

Kwenu watz kuwa na kiongozi wa aina hii ni adhabu kubwa sana mnnapitia kama taifa.
upinzani usipoingia baada ya huyu mama , basi itachukua miaka mingi kupata fursa kama hii tena tena
 
Walipo waalika wakuu wa taasisi za dini waipende CCM na kumpuuza polepole, mchungaji mmoja aliwauliza, badala ya kumpuuza Pole2 kwa nini msiyafanyie kazi amayosema Pole2?
Aisee kidogo wamgawane huyo aliyetoa hilo wazo.
CCM watu wao wa karibu saaaana ni uongozi wa BAKWATA na uongozi wa KKKT.
Kumbuka sio waumini ila uongozi.
Wale wanaotupiwa mifupa (vijihela) au rushwa na serikali.
Kwanini KKKT au mapdre wapewe pesa ambayo sijaona ikiletwa hadharani?
 
Fasta fasta kama yupo against mtu sio mfumo
sio fasta fasta, yeye yupo against na mama --- mama ni kweli anaweza kua mzinguaji

ila anachotaka kutuaminisha huyu ni kwamba tuungane kupambania maslahi ya nchi kwa kumchomoa mama, hapa ndo kwenye utapeli kwa sababu chama chao kimechangua awe mgombea wao iwe kwa halali au haramu ni shida yao wenyewe

watu amabo sio wa wadau wa ccm wamuunge mkono kwa tahadhari
 
Nadhani muda mwingine kufikiri sana ni hatari kwa afya yako ya ubongo, ngoja nitulie nione...
 
huu mradi aisee, mamlaka si wangeangalia uwezekano zile za kijani za gerezani-mbagala waingie hata makubaliano ya muda mfupi zinie hapo kuokoa jahazi aisee
Hatari sana, hata kwa wasafiri aisee.. Naamini viongozi wameona hii tatizo
 
  • Thanks
Reactions: Lax
huu mradi aisee, mamlaka si wangeangalia uwezekano zile za kijani za gerezani-mbagala waingie hata makubaliano ya muda mfupi zinie hapo kuokoa jahazi aisee
kimara gerezan na kivukoni zinafika mwezi wa 10 chini ya mwekezaj mpya
 
Back
Top Bottom