Polepole: Rais Samia nakuheshimu bali sikuogopi

Polepole: Rais Samia nakuheshimu bali sikuogopi

Mpaka nione mmoja amevaa suti ya kuogelea kwenye soko la kijiji saa sita mchana ndiyo nitaelewa wapo siriazi.
 
Kijana inaonekana waliompa project ilikuwa haijakamilika yeye kakurupuka kwa kukosa uvumilivu,, haya mambo yanataka patience na resilience, inaonekana ameharibu project yenyewe na wameshamkataa tayari sasa anawayawaya.

Anaopambana nao waliujenga mtandao Kwa muda mrefu kwa jasho na damu, kudeal nao lazima uwe full package.

HP hata maadui zake inaonekana hawajui vizuri maana ukimsikiliza inaonekana kuna watu anawaamini saaana kumbe nao ni chama moja la mtandao mfano jamaa mmoja anamuamini mno lakini ni mtandao kitambo na hata waliomnyanyua from nowhere ni wanamtandao, na mwingine mkubwa sana amesajiliwa juzi juzi tena kirahisi sana maana naye anapenda kumiliki mali na kuishi high life.

Ndani ya mitaa ya Khartoum Sudani.
 
Tanganyika inaanza kuja itazaliwa hivi karibuni.

Rostam alianza kujibu akazibwa mdomo hahaha.
 
Kama amuogopi aje aitishe hizi taka taka zake za kuitwa press mchana wa jua kali hapa nchini kama nafsi yake haijagawanyika na mwili.
Kwani anachoongea ni ukweli au uongo?
 
Ndio maana hamuogopi sababu anamjua nje ndani, hata mimi lidada langu shanikupe hapa eti leo kesho liwe rais oya nitaitisha press nipinge mwanzo mwisho kwanza likipigiwa simu huwa halipokei hata upige vipi simu labda lipige lenyewe ni tapeli mpaka linaogopa kupokea simu pili ni bonge moja la tapeli limetapeli watu kila sehemu sasa linaishi kwa kujificha limekopakopa ovyo ovyo mikopo umiza sasa hivi maafisa mikopo wanasumbua wadhamini lenyewe limeenda kujificha huko mashimoni pesa za watu halitaki kulipa, sasa hivi alichobakiza ni kua Jambazi tu
 
Crap!!
Kwani Pole Pole alifukuzwa au kuondolewa kwenye madaraka? Mbona inaonekana huelewi chochote?

Mtu ambaye ametafakari na kuamua kuachia nafasi yake utasemaje kuwa amekosa madaraka au amewekwa nje ya mfumo wa utawala!
Ubaloziini ni lini kikawa cheo cha kimadaraka?Madaraka ninayo yaongelea hapa ni yale aliyo kuwa nayo kipindi cha JPM ambapo alikuwana uwezo wa kumbwekea mpaka waziri mkuu.
Watz wengi tuna upumbavu mwingi na ndio maana wana siasa wamesha tugeuza kama midoli,katika huu upumbavu wote huu unao endelea ndani ya nchi hii polepole ni moja wapo alio shiriki kuujenga alipokuwa na madaraka chini ya jpm.
 
Mkumbo kivipi?

Kumkataa Rostam kwa wizi wake ni mkubo

Kukemea ugawaji wa rasilimali zetu watanzania ukiwapo na wewe ni mkumbo?

Tafadhari bhana mlamba miguu
Huyo Rostam sialikiwa amesha ikimbia nchi kipindi cha kikwete ajakaribishwa tena na jpm au ume sahau?
Ww hizo rasilimali kabla ya kuuzwa zilikuwa zina kusaidia nini kwenye maisha yako ya kila siku?
 
Back
Top Bottom