Tajiri wa kinyankole
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,959
- 4,862
Vyombo vya habari tangu jana vimeripoti aliyekuwa balozi nchini CUBA hampfrey polepole kutekwa na kupelekwa. kusipojulikana na shuhuda mmoja ambaye alijitambulisha kwa jina la augustino polepole alimtaja waziwazi mhusika mkuu wa utekaji kuwa ni mtu mmoja ajulikanaye kwa jina la MAFWELE hata hivo baada ya taarifa hizo kusambaa mitandaoni chombo cha habari cha BBC kilifika katika familia ya bwana polepole wajathibitisha kuwa ndugu yao ametekwa na kwamba wameripoti kituo cha polisi mbweni jijini dares salaam kutoa taarifa za ndugu yao.
Pamoja na taarifa hiyo kamanda wa polisi kanda maalumu muliro jumanne mliro alipohojiwa na chombo cha habari cha BBC kuhusu kutekwa kwa bwana polepole alisema kwamba mtu huyo taarifa zake mara nyingi anasema hayuko nchini kwa hiyo hana taarifa yoyote juu ya utekaji huo na kwamba anafuatilia.
Aidha wakati vyombo vya habari vikiripoti tukio hilo jeshi la polisi lilitoa taarifa kwamba halijamshikilia mtu huyo na kwamba bado wanamuhitaji afike ofisi ya DCI kwa ajiri ya mahojiano.
👉Kitu pekee nawaambia jeshi la polisi yawezekana mnatumiwa na watesi wa polepole huko mlipompeleka mjiulize huyo anakosa gani ! Nafsi zenu ziwafanye muwe na huruma kwa kijaba huyo ambaye hana hatia kwa kukosoa serikali yake , amri mtakazo pewa kwa ajiri ya kumdhuru kijana huyo mjitafakari kwa kina na wala msitingishike mtende haki , maana kama kuna chochote ambacho mtakuwa mmepewa amini nawambia hakita kuwa na maana yoyote isipokuwa mtakuwa mmezima sauti ya umma kwa ajiri ya wachache waliowatuma ambao nyie mtastaafu hakuna atakayekuwa na habari na nyie isipokuwa familia zao zitaendelea kufanya yaliyokuwa yanasemwa na polepole.
👉Polepole ni kiongozi ndani ya ccm na ndani ya vyombo vya ulinzi na usalaama ana watu nyuma yake isipokuwa polisi ambao upepo kila unapovuma na wao ni hukohuko , mkitambua hilo hamtaweza kumfanya chochote maana kukaa nchini alijuwa nini kingemtokea ndiyo maana aliamua kusema , polisi msikubali mtego huo mkiamni kwamba mnafanya kazi vizuri ccm ambao wanachukizwa na mambo haya wapo kimya na viongozi wa vyombo wapo kimya huyo kijana muwe makini naye msijaribu kumfanya chochote mtaharibu kila kitu amini na waambia mtaharibu kila kitu kitakachotokea ni hatari kwa taifa, baadhi ya viongozi wa nchi miongoni mwao ni rafiki zake pia na bado wapo madarakani.
Mbegu hiyo mkiipanda itakula vizazi vyenu huku waliowatuma wakila mema yawezekana ndani ya nchi au nje ya nchi.
Mimi ninaimani kubwa polepole kama tetesi zinavyosemwa kushikiliwa na watesi wake kwamba watamdhuru ni vigumu mno kutekeleza walichopanga ingawa wanapenda iwe hivo trust me ni vigumu mno.
Pamoja na taarifa hiyo kamanda wa polisi kanda maalumu muliro jumanne mliro alipohojiwa na chombo cha habari cha BBC kuhusu kutekwa kwa bwana polepole alisema kwamba mtu huyo taarifa zake mara nyingi anasema hayuko nchini kwa hiyo hana taarifa yoyote juu ya utekaji huo na kwamba anafuatilia.
Aidha wakati vyombo vya habari vikiripoti tukio hilo jeshi la polisi lilitoa taarifa kwamba halijamshikilia mtu huyo na kwamba bado wanamuhitaji afike ofisi ya DCI kwa ajiri ya mahojiano.
👉Kitu pekee nawaambia jeshi la polisi yawezekana mnatumiwa na watesi wa polepole huko mlipompeleka mjiulize huyo anakosa gani ! Nafsi zenu ziwafanye muwe na huruma kwa kijaba huyo ambaye hana hatia kwa kukosoa serikali yake , amri mtakazo pewa kwa ajiri ya kumdhuru kijana huyo mjitafakari kwa kina na wala msitingishike mtende haki , maana kama kuna chochote ambacho mtakuwa mmepewa amini nawambia hakita kuwa na maana yoyote isipokuwa mtakuwa mmezima sauti ya umma kwa ajiri ya wachache waliowatuma ambao nyie mtastaafu hakuna atakayekuwa na habari na nyie isipokuwa familia zao zitaendelea kufanya yaliyokuwa yanasemwa na polepole.
👉Polepole ni kiongozi ndani ya ccm na ndani ya vyombo vya ulinzi na usalaama ana watu nyuma yake isipokuwa polisi ambao upepo kila unapovuma na wao ni hukohuko , mkitambua hilo hamtaweza kumfanya chochote maana kukaa nchini alijuwa nini kingemtokea ndiyo maana aliamua kusema , polisi msikubali mtego huo mkiamni kwamba mnafanya kazi vizuri ccm ambao wanachukizwa na mambo haya wapo kimya na viongozi wa vyombo wapo kimya huyo kijana muwe makini naye msijaribu kumfanya chochote mtaharibu kila kitu amini na waambia mtaharibu kila kitu kitakachotokea ni hatari kwa taifa, baadhi ya viongozi wa nchi miongoni mwao ni rafiki zake pia na bado wapo madarakani.
Mbegu hiyo mkiipanda itakula vizazi vyenu huku waliowatuma wakila mema yawezekana ndani ya nchi au nje ya nchi.
Mimi ninaimani kubwa polepole kama tetesi zinavyosemwa kushikiliwa na watesi wake kwamba watamdhuru ni vigumu mno kutekeleza walichopanga ingawa wanapenda iwe hivo trust me ni vigumu mno.
