mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,348
- 2,777
Pole pole ndio shujaa wetu pekee alieamua kubaki na wananchi sio wauza nchi.
Hata akifa leo tutasema kafa akiwa shujaa katikati ya mapambano.
Hoja zake haziwezi kufutika kwetu km alivyo Magufuli.
Tatizo wanaompinga Polepole hawajibu hoja zake zaidi ya kumshambulia binafsi. Wameshindwa kabla
hawajaanza.
Tuliopembeni tunausoma mchezo tu
Hata akifa leo tutasema kafa akiwa shujaa katikati ya mapambano.
Hoja zake haziwezi kufutika kwetu km alivyo Magufuli.
Tatizo wanaompinga Polepole hawajibu hoja zake zaidi ya kumshambulia binafsi. Wameshindwa kabla
hawajaanza.
Tuliopembeni tunausoma mchezo tu