Kwa hali hii: "Watesi wetu leo, siyo watu wale wale?"
Kaeleza Polepole kuwa almanusura ya Mdude, Soka au wote waliotoweka yalikuwa yamkute yeye wakati akiwa karibu na Jiwe kiasi kile. Kwamba Magufuli mwenyewe almanusura mara tatu ilikuwa wamtoe roho!
Kwamba ya Mangula, yule taxi driver, zile codes na majina kwenye karatasi kuhusiana na Kibiti - Mkuranga ni wana network wale wale.
Kwamba mwana net apigana hadi na nguvu za ngiza upande wake? Watajivua vipi hao ndugu na kupotea kwa akina Ben au yaliyomkuta mwanetu TAL?
Kwamba walituingizia kinyemela vile hadi mamvi, walishindwa nini hawa kumchomkea nani msala?
Kasema Polepole hawa ndugu hugombana kama mafisi, si kwa kumhurumia mhanga bali kupata fursa ya kumla zaidi. Kwamba kwenye kumla wao ni wamoja!
Kama hali ndiyo hii nani yuko salama wapi? Ni huku JF?
Kaeleza Polepole kuwa almanusura ya Mdude, Soka au wote waliotoweka yalikuwa yamkute yeye wakati akiwa karibu na Jiwe kiasi kile. Kwamba Magufuli mwenyewe almanusura mara tatu ilikuwa wamtoe roho!
Kwamba ya Mangula, yule taxi driver, zile codes na majina kwenye karatasi kuhusiana na Kibiti - Mkuranga ni wana network wale wale.
Kwamba mwana net apigana hadi na nguvu za ngiza upande wake? Watajivua vipi hao ndugu na kupotea kwa akina Ben au yaliyomkuta mwanetu TAL?
Kwamba walituingizia kinyemela vile hadi mamvi, walishindwa nini hawa kumchomkea nani msala?
Kasema Polepole hawa ndugu hugombana kama mafisi, si kwa kumhurumia mhanga bali kupata fursa ya kumla zaidi. Kwamba kwenye kumla wao ni wamoja!
Kama hali ndiyo hii nani yuko salama wapi? Ni huku JF?