GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,770
Reaction score
1,173
Aliyewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mbunge wa Jimbo la Igunga kwa miaka 18, mfanyabiashara Rostam Aziz amesema ukosoaji unaofanywa na Balozi Humphrey Polepole juu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Chama cha Mapinduzi ni kutokana na kiongozi huyo kutokuwa kuwa na historia na CCM na kuwa alipewa tu nafasi baada ha uchaguzi mkuu wa 2015, nafasi ambayo Rostam anadai Polepole hakustahili.

Rostam hakuishia hapo Kwani amesema Polepole ni mwana CCM wa Itifaki na Maslahi na sio mwana CCM wa Itikadi na ndio maana anaweza kuhoji maamuzi ya mkutano mkuu ambapo ni kuwatukana wajumbe wote wa mkutano ule.

Una maoni gani kwa Rostam Aziz?

 
Aliyewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mbunge wa Jimbo la Igunga kwa miaka 18, mfanyabiashara Rostam Aziz amesema ukosoaji unaofanywa na Balozi Humphrey Polepole juu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Chama cha Mapinduzi ni kutokana na kiongozi huyo kutokuwa kuwa na historia na CCM na kuwa alipewa tu nafasi baada ha uchaguzi mkuu wa 2015, nafasi ambayo Rostam anadai Polepole hakustahili.

Rostam hakuishia hapo Kwani amesema Polepole ni mwana CCM wa Itifaki na Maslahi na sio mwana CCM wa Itikadi na ndio maana anaweza kuhoji maamuzi ya mkutano mkuu ambapo ni kuwatukana wajumbe wote wa mkutano ule.

Una maoni gani kwa Rostam Aziz?

View attachment 3430303
Rostam ni Mfaniki tu ,anampamba Mama samia ili aendelee kupiga pesa na ufisadi wake wa miradi ya kitapeli.
 
Kweli Polepole kawashika pabaya, hadi Rostam katoka pangoni ku comment kuhusu Polepole!??.., no wonder akisema kesho anaongea wanajiandaa kuzima mitandao, ajabu ni kuwa hawana uhakika wazime mtandao upi,. Ambacho nina uhakika nacho baada ya hawa jamaa ku panic ni kwamba wanajua kuwa ana taarifa nyingi sana, tena taarifa nyeti. Kuna uwezekano mtu asiyetegemewa akaja kudondosha mbuyu.
 
Kweli Polepole kawashika pabaya, hadi Rostam katoka pangoni ku comment kuhusu Polepole!??.., no wonder akisema kesho anaongea wanajiandaa kuzima mitandao, ajabu ni kuwa hawana uhakika wazime mtandao upi,. Ambacho nina uhakika nacho baada ya hawa jamaa ku panic ni kwamba wanajua kuwa ana taarifa nyingi sana, tena taarifa nyeti. Kuna uwezekano mtu asiyetegemewa akaja kudondosha mbuyu.
Mwamba kaibuka 😂😂😂😂...si mchezo Hadi kumuibua mwamba mwenye ten pasenti ya hii nchi sio mchezo 😂😂😂 ashukuriwe Baba wa Mbinguni..😁😁
 
Aliyewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mbunge wa Jimbo la Igunga kwa miaka 18, mfanyabiashara Rostam Aziz amesema ukosoaji unaofanywa na Balozi Humphrey Polepole juu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Chama cha Mapinduzi ni kutokana na kiongozi huyo kutokuwa kuwa na historia na CCM na kuwa alipewa tu nafasi baada ha uchaguzi mkuu wa 2015, nafasi ambayo Rostam anadai Polepole hakustahili.

Rostam hakuishia hapo Kwani amesema Polepole ni mwana CCM wa Itifaki na Maslahi na sio mwana CCM wa Itikadi na ndio maana anaweza kuhoji maamuzi ya mkutano mkuu ambapo ni kuwatukana wajumbe wote wa mkutano ule.

Una maoni gani kwa Rostam Aziz?

View attachment 3430303
Huyu ndiye "mpiga copy" serekali aka mhuni mkuu, aka "the king maker"!!!??
 
Mwamba kaibuka 😂😂😂😂...si mchezo Hadi kumuibua mwamba mwenye ten pasenti ya hii nchi sio mchezo 😂😂😂 ashukuriwe Baba wa Mbinguni..😁😁
Nimeanza kuhisi usalama wamechoka na yanayoendelea na Polepole yupo na backup isiyo ya kawaida. CCM na serikali vipo kwenye panic mode, ila kwa sisi watazamaji wa jicho la tatu, tunafurahia maana yaweza kuwa the beginning of the END.
 
Rostam anaona Samia hafai kukosolewa kwa sababu amekuza uchumi na kufungua nchi.

Kwamba Polepole anakosoa mambo ambayo yeye pia hakuwa akiyaamini na kuyasimamia.

Kwamba Polepole hana hadhi hata kujibiwa mtu ambaye hajawahi kushika nafasi ya uongozi kwenye chama hadi alipoibuka kuwa mwenezi hivyo hakijui chama na taratibu zake.
 
DP kampuni ya Dubai,hutoa huduma sehemu tofauti ikiwemo UK,rostam hajafikia hizo level
Na alichosema rostam ni kweli, polepole hana nasaba na CCM
Hao wasiokuwa na nasaba ndio wana ujasiri wa kusema na kutenda ambao wenye nasaba wanashindwa kufanya.
 
Nimeanza kuhisi usalama wamechoka na yanayoendelea na Polepole yupo na backup isiyo ya kawaida. CCM na serikali vipo kwenye panic mode, ila kwa sisi watazamaji wa jicho la tatu, tunafurahia maana yaweza kuwa the beginning of the END.
Aminaaaaa
....
 
Aliyewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mbunge wa Jimbo la Igunga kwa miaka 18, mfanyabiashara Rostam Aziz amesema ukosoaji unaofanywa na Balozi Humphrey Polepole juu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Chama cha Mapinduzi ni kutokana na kiongozi huyo kutokuwa kuwa na historia na CCM na kuwa alipewa tu nafasi baada ha uchaguzi mkuu wa 2015, nafasi ambayo Rostam anadai Polepole hakustahili.

Rostam hakuishia hapo Kwani amesema Polepole ni mwana CCM wa Itifaki na Maslahi na sio mwana CCM wa Itikadi na ndio maana anaweza kuhoji maamuzi ya mkutano mkuu ambapo ni kuwatukana wajumbe wote wa mkutano ule.

Una maoni gani kwa Rostam Aziz?

View attachment 3430303
Hivi Tanzania inakuwaje huyu Agent wa CIA Tanzania kukaribishwa hadi chumbani?
Alipaswa ashughulike na biashara tu,
Wazawa kama Bakhressa na Moo wako busy na biashara.
Watu wa system mlikwama mnakwama wapi?
 
Back
Top Bottom