GE2025 Polepole ni muda wa kujitoa mwenyewe CCM kabla hujafukuzwa, utaheshimika zaidi!

GE2025 Polepole ni muda wa kujitoa mwenyewe CCM kabla hujafukuzwa, utaheshimika zaidi!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
57,103
Reaction score
128,722
Wanabodi,
Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini

Leo hilo jambo, limetokea kweli GE2025 - Rais Samia atengua uteuzi wa Humphrey Polepole. Amuondolea hadhi ya Ubalozi

Hii maana yake sasa unapangiwa mikakati ya kushughulikiwa kikamilifu. Unachotakiwa kufanya ni kujitoa rasmi CCM, ndipo uendeleze mapambano ukiwa nje ya CCM tena mahala salama!.

Kwa msio ijua serikali, serikalini kuna watumishi wa aina mbili, kuna watumishi wa kawaida wa serikali, hawa wanaweza kuacha kazi wakati wowote na maisha yakaendelea, na kuna watumishi wa serikali, wale wa kazi mbili mbili, hawa hawawezi kuacha kazi wakabaki salama, wale jamaa wa ile kazi ya pili lazima watakutafuta na kumalizana nao.

Tangu mwanzo nimemshauri sana
Ushauri kwa Balozi Polepole
  1. GE2025 - Ushauri wa Bure kwa Balozi Polepole, Usitatizwe na Wahuni!, Rais wa TZ 2025 Hawekwi na Wahuni, CCM au Watanzania, Anawekwa na YEYE Pekee!. Jinyamazie!
  2. Ushauri Balozi HP: Ukiongoka, Kujitenga na Uovu na Kusema Ukweli, Sema Ukweli Wote Sio Ukweli Nusu Nusu!. Jitenge Jumla Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!
  3. GE2025 - Alichokifanya Polepole, Kumbe Sio yeye!, Ni Ule Mwanga!, Sasa Anatakiwa Kusimama Pembeni Mazima na Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!. YEYE ATATENDA!.
  4. Kati ya Walimzunguka Mfalme na Kumsifu Alivyopendeza na ile Invisible Robe, na yule mtoto aliyemweleza ukweli, kuwa yuko, nani anamsaidia kweli?
  5. Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?

Na sasa namshauri, ajitoe mwenyewe humo CCM alimo, atafute mahala salama, sio nchi za ngozi nyeusi, ndipo awe huru kutapika nyongo anavyotaka.

Asipojitoa mwenyewe sasa hivi bado mapema, atafukuzwa CCM kwa kuvuliwa uanachama, tena sio tuu wataichukua kadi yake tuu ya chama, ili kumkomoa wanaweza kumny'ang'anya hadi lile Gamba lake, (passport) na kumuanzishia uchunguzi wa uraia!.

HP Please do the needful the sooner the better!
Paskali。
 
Wanabodi,
Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani

Leo hili jambo, limetokea GE2025 - Rais Samia atengua uteuzi wa Humphrey Polepole. Amuondolea hadhi ya Ubalozi

Tangu mwanzo nimemshauri sana

Na sasa namshauri,ajitoe mwenyewe humo alimo,awe huru kutapika nyongo anavyotaka!。

Asipojitoa mwenyewe,sasa hivi atafukuzwa!,tena sio tuu kadi tuu yake ya chama,watachukua,wanaweza kumny'anganya hadi lile Gamba, PPT! na kumuanzishia uchunguzi wa uraia!。

HP,Please do the needful the sooner,the better!。
Paskali。
Akijitoa hawataweza kumuanzishia uchunguzi wa uraia, wakitaka?
 
Wanabodi,
Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini

Leo hilo jambo, limetokea kweli GE2025 - Rais Samia atengua uteuzi wa Humphrey Polepole. Amuondolea hadhi ya Ubalozi

Tangu mwanzo nimemshauri sana

Na sasa namshauri,ajitoe mwenyewe humo alimo,awe huru kutapika nyongo anavyotaka!。

Asipojitoa mwenyewe,sasa hivi atafukuzwa!,tena sio tuu kadi tuu yake ya chama,watachukua,wanaweza kumny'anganya hadi lile Gamba, PPT! na kumuanzishia uchunguzi wa uraia!。

HP,Please do the needful the sooner,the better!。
Paskali。

'Mnara wa Babeli' umeanza kuporomoka.
Wajenzi wa Mnara hawaongei tena Lugha moja kwa sasa.
 

Mkuu Polepole size ya kina Rostam kina nyie si mliambiwa muufyate?
 
Yaani slow slow Hadi akili yake imekua slow ,
Ila watu kama hao ndio mtaji wa chadema .maana hao ndio hupenda waropokaji
 
Kachelewa huyo Bwana Mayalla sasa hivi anachozungumza hakina mvuto tena hata akitoka hakutakuwa na impact yoyote.kinachonishangaza ni kwamba polpole hajui hili otherwise intelenjesia yake iko chini sana tu.
 
Polepole; msemeni, ila, alijua kuwa haya yote yatatokea, na pia anguko la ccm laja polepole. Inaweza kuchukua hata miaka 5-10 lakini, anguko laja, wacha tuendelee kutimba na jembe. Woga, kama mleta mada kaeni kando mtadandia kwa mbele mbeleni mkiweza. Kwa sasa msitukatishe tamaa. Watatumika sampuli za aina nyingi ila mzigo utafika.
Halafu mwambieni bwana Tiss aache ushamba diaspora sio tishio kwa Tz, sapoti yao kwa hiki sio tishio kwa uhai wa Mtanzania, achaneni na CDM. Angaikeni na wahuni kama nyie sio anaonyishea kidole Slow slow
 
Wanabodi,

Tangu mwanzo nimemshauri sana
Ushauri kwa Balozi Polepole

Na sasa namshauri, ajitoe mwenyewe humo alimo, awe huru kutapika nyongo anavyotaka.

Asipojitoa mwenyewe sasa hivi atafukuzwa tena sio tuu kadi yake ya chama watachukua, wanaweza kumny'ang'anya hadi lile Gamba lake (PPT) na kumuanzishia uchunguzi wa uraia.

HP Please do the needful the sooner the better!
Paskali。
HP ataongea leo, Je anakwenda kutimiza hili?.
P
 
Wanabodi,
Jana nilipandisha bandiko hili humu jukwaani Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini

Leo hilo jambo, limetokea kweli GE2025 - Rais Samia atengua uteuzi wa Humphrey Polepole. Amuondolea hadhi ya Ubalozi

Tangu mwanzo nimemshauri sana
Ushauri kwa Balozi Polepole
  1. GE2025 - Ushauri wa Bure kwa Balozi Polepole, Usitatizwe na Wahuni!, Rais wa TZ 2025 Hawekwi na Wahuni, CCM au Watanzania, Anawekwa na YEYE Pekee!. Jinyamazie!
  2. Ushauri Balozi HP: Ukiongoka, Kujitenga na Uovu na Kusema Ukweli, Sema Ukweli Wote Sio Ukweli Nusu Nusu!. Jitenge Jumla Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!
  3. GE2025 - Alichokifanya Polepole, Kumbe Sio yeye!, Ni Ule Mwanga!, Sasa Anatakiwa Kusimama Pembeni Mazima na Sio Mguu Ndani, Mguu Nje!. YEYE ATATENDA!.
  4. Kati ya Walimzunguka Mfalme na Kumsifu Alivyopendeza na ile Invisible Robe, na yule mtoto aliyemweleza ukweli, kuwa yuko, nani anamsaidia kweli?
  5. Polepole: Shujaa, Mzalendo wa Kweli Kama Nyerere, Kang'atuka Kama Nyerere!, Amesema Ukweli Nusu!, Je Atoe Mguu Nje Aseme Ukweli Wote, Apewe Maua Yake?
Na sasa namshauri, ajitoe mwenyewe humo CCM alimo, atafute mahala salama, sio nchi za ngozi nyeusi, ndipo awe huru kutapika nyongo anavyotaka.

Asipojitoa mwenyewe sasa hivi bado mapema, atafukuzwa CCM kwa kuvuliwa uanachama, tena sio tuu wataichukua kadi yake tuu ya chama, ili kumkomoa wanaweza kumny'ang'anya hadi lile Gamba lake, (passport) na kumuanzishia uchunguzi wa uraia!.

HP Please do the needful the sooner the better!
Paskali。
Sijui kama Polepole aliusoma ushauri wangu huu kwake, sasa kilichobaki ni
Sala tuu na maombi!.
Ila tunawakumbusha Mamlaka
Wanabodi
Nimejitolea kuwa mwalimu wa kujitolea wa somo la katiba, sheria na haki, ili kuwaelimisha Watanzania kuhusu haki zao na wajibu wao.

Kujitolea kuwa mwalimu somo la katiba, na sheria, nimehamasishwa na yeye mwenyewe Rais Samia ana nia njema Watanzania wapate haki, ila Watanzania hawajui Haki! Je, Tumsaidie kuelimisha umma Katiba, Sheria na Haki au? hebu msikilize mwenyewe akizungumza
View: https://youtu.be/PZ_8JFw_5LM?si=LqdibxLmRJXzlhQY ni kufuatia hoja hii, ndipo mimi nikajitolea Kipindi cha TV, Kutoa Elimu ya Katiba, Sheria na Haki, Kuanza Jumapili Hii Kupita Channel Ten
View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=LdYf8WVJTIKw8KCu

Kanuni yenyewe ya vicarious liability ni hii
"Vicarious liability exists due to the legal doctrine of respondeat superior, which essentially means “let the master answer.” Employers, parents or others with a superior legal relationship to someone who does harm are expected to answer for those who are under their control.

Vicarious liability rules also exist in order to provide protection to victims of injury. Often, an individual employee or a child will not have the resources to provide compensation to those they harm through their negligence or wrongful actions. But companies and parents generally do.

Through the doctrine of vicarious liability, those who have resources (including the ability to buy insurance) and who were in a position to prevent harm but who failed to do so can be held accountable so victims do not go uncompensated"

Tanzania tuna bahati nzuri sana hatuna wanasheria aggressive wa kutetea watu, vinginevyo tungetumia private investigations kuwabaini hawa 'wasiojulikana' na kuwatundika msalabani, hii ingewafanya viongozi wetu kuwa more responsible for the life of its citizens.

Paskali

Hii ni katika kukumbushana tuu, kama ni kweli Humphrey Polepole, ametekwa na wasiojulikana, then hatma yake tuikabidhi kwa aliye JUU kwa sala na maombi.

Lakini kama ni wale wasiojulikana 'wasiojulikana', then tunawaomba kwa kuwashauri, mfanyieni tuu mohojiano kwa njia za kawaida za majojiano, kama akikutikana na hatia mfikisheni kwenye vyombo vya sheria, msiimwage bure damu yake, mtajikuta mnaponza bure bosi wenu bila ya nyinyi kujijua na yeye kujijua, mkajikuta badala ya kumsaidia, mkamponza, Mzee Karma akamshukia kama mlivyomponza yule mtangulizi wake!. Thread 'Karma is Real na ipo Kweli. Everything Happens for a Reason. Wasaidizi wa Rais Samia mna wajibu wa kumsaidia Rais na Serikali yake Kuepuka Bad Karma!' Karma is Real na ipo Kweli. Everything Happens for a Reason. Wasaidizi wa Rais Samia mna wajibu wa kumsaidia Rais na Serikali yake Kuepuka Bad Karma!
Ni ushauri tuu!.
P
 
Back
Top Bottom