Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 1,770
- 1,173
Polepole ni Mhuni namba moja kwenye CCM - Mafufu
Polepole ni Mhuni namba moja kwenye CCM - Mafufu
Sasa nae huyu ni nani katika serikali au ccm? Wanaotakiwa kujibu au kutokujibu ni watu wenye mamlaka serikalini na viongozi ndani ya ccm. Sasa huyu maskini anapanua mapafu hata a slight fact hana! Anyway, tumsamehe bure!Polepole ni Mhuni namba moja kwenye CCM - Mafufu
Watu kama hawa na magenge yao wasipodhibitiwa inahalalisha kusema kwasasa chama kimevamiwa na kinaongozwa na wahuni. Yaani chama kimekosa wasemaje kinatumia wasanii ndio tuone wakisema hao basi imetosha....!Polepole ni Mhuni namba moja kwenye CCM - Mafufu
Ndio shida ya CCM ya kizazi hiki, inapoharibu ina tumia watu wajinga kuisemea. Huku mitaani watu kama wasanii, Doto Magari nk. Kule Bungeni wabunge wajinga wajinga kama Msukuma, Lusinde nk nao ndio watetezi wao!Eti bongo movie anamjibu polepole 😄
Hata anachongea haeleweki
Hii nchi iko kisaniii sanii sana
Ova
Wanajuana na Polepole. La muhimu ni moja tu, Leo Muhuni namba moja kapatikana, mambo ya madarasa tuwaachie wenyewe.Huyu alisoma mpaka la ngapi?