Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Mkuu hivi huioni chadema Kama Ni strong party to take over after the death of ccm? Mikutano inakatazwa kwa mabomu na he unahisi hicho chama kipya ndo mikutano yake itaruhusiwa na hawahawa polisi. Shida siyo chama shida Ni watu kujitoa muhanga ikitokea polisi wakakataa mikutano mnafanya hivyohivyo polisi wanawaua wote siku nyingine wanafanya wengine polisi wanaua wote, siku nyine Tena wanafanya wengine mpaka polisi watakapochoka kuua
Kinahitajika chama chenye sura ya kitaifa. Opposition parties zilizopo hazina sura ya kitaifa!