Polepole, Mangula na wengine; wakati ndio huu

chadema hakifai hata kuongoza vikoba kila ikifika miaka 5 mnajipa moyo mtachukua uongozi viongozi wenyewe wako wapi chama kinashupalia mambo ya dimond utafikiri chama cha wanamuziki
 
Anza kwanza na Katiba mpya kisha tume huru ya Uchaguzi.
Kweli kabisa. Chama chenye uwezo, tena mkubwa tu wa kuunda serikali, na kuiongoza nchi hii katika misingi ya haki na amani kimekweishazaliwa nacho ni chadema.

CDM hawajawahi kushindwa uchaguzi khalali kisheria bali kwa ghilba na uzindaki wa Tume ya Uchaguzi ikishirikiana na mifumo mibovu na kandamizi ya dola.

Embu tuwekeni mfumo khalali wa kikatiba na kupitia hiyo katiba ccm na cdm wasimame head to head halafu ccm wakipata hata asilimia 25 ya kura nipigeni makofi mfulilizo kuanzia asubuh hadi jion.
 
CDM, kwa mfano, ina umri wa miaka takribani 30, lakini national leadership yake imebaki kuwa highly concentrated mahali pamoja! WTF? Opposition parties zingine pia zina shida kama hiyo.
Kumbe Kama ndivyo kwa nini mnaogopa chama dhaifu kisicho hata na sura ya kitaifa?!!! Tuweke katiba mpya na Tume huru tuingie uwanjani.

Haiwezekani Refa achaguliwe na GSM, alipwe na GSM Yeye na marefa wasaidizi wote, kin karia wote wateuliwe nankupiwa na GSM halafu eti utegemee kombe liende msimbazi!!!!! Kama si uchuro huo ni nini??!!

Kama ccm vidume kweli tuweke vyombo huru vya kusimamia uchaguzi afu gemu lipigwe kama hamjanyolewa hata 10 kwa yai.
 
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili; ninaomba tushirikiane kwa pamoja kuangalia jambo hili kutoka pande mbalimbali na kuona kama linaweza kuwa ni uamuzi sahihi kwa majira haya ambayo taifa letu limefikia sasa.

Wote tunakubaliana kuwa kila jambo huwa na mwisho wake na historia inajengwa na matukio. Huwezi kupingana na uhalisia halisi pale matukio yanapokuwa yakijenga historia, tumeona falme zilivyoinuka zikafika kileleni zikang'ara na zikaporomoka muda wake ulipoisha, na ni matukio ndio yamesababisha, cause and effect. Uingereza iliwika ikaja marekani na sasa mchina anatake over mbele ya macho ya ulimwengu mzima na hakuna awezaye kuzuia hata mmarekani mwenyewe anafurukuta tu, kwa sababu yameshafanywa matukio na mmarekani mwenyewe na wenzzie yanayosababisha hayo, hivyo hawezi tena kuzuia.

Tanzania tunapotimiza miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika kuna mambo mengi yametokea katika historia ya siasa yetu. Ni kitabu kizima unaweza kujaza matukio hayo yakiwemo ya ufisadi, vifo vya viongozi wema kama hayati sokoine, n.k na hayajaacha kutokea mpk kesho! Wote tunakumbuka viongozi kama Nyerere alipokuwepo alivyolazimika kuwa anakemea mpaka watawala kama watoto wadogo wasiojua nin wanafanya, tumeona hayati Magufuli nae alijaribu kukemea na kuwaadhibu pia, leo hii watu hao wa kukemea na kuwafunga kengele viongozi waovu wote wamekwenda zao, je taifa litaelekea wapi wale mbwa wakifunguliwa?

Tunaona watu kama Polepole wanavyojaribu kuongea lakini wote tunajua na hata yy mwenyewe amekiri mara nyingi kujaribu kutishwa na wengine ndani yachama ili asiongee, je ameongea lipi baya la kutaka kumfunga mdomo?

Ni wazi chama cha mapinduzi sasa kimepoteza legitimacy ya kutawala nchi rasmi! Kwani yote yanayofanyika humo ni kinyume na misingi ya siasa za nchi yetu na siasa za chama hicho chenyewe ambavyo vyote pamoja viliwekwa na waasisi wa taifa letu mwanzoni kabisa. Ni matukio mengi yametokea na leo ni ukomavu wa matukio hayo tu, huwezi kusema eti bado tukipe nafasi utakuwa hujuihistoria vizuri wewe, maaana ikifika ukomavu wa matukio historia inadai mabadiriko na utake usitake yatakuja tu hata ulie, ugalegale , no way!

Chama cha mapinduzi ndani yake chembe za watu wasafi zimebaki chache kuliko walio waovu, na tunaona wanavyokuja kwa nguvu mpaka raia wote wamejikatia tamaa kabisa. Sasa kuibuka tena mtu mzalendo na kufanya miujiza aliyofanya hayati Magufuli ndani ya chama hicho ni ndoto isiyowezekana.

TUFANYAJE
Wazalendo waliobaki ndani ya chama hicho mkubali matokeo, (ngumu kumeza), lakini ni wakati wa nyinyi kuja na CHAMA KIPYA CHA SIASA NCHI HII.

Najua mtasema kuwa kuna vyama vingi vimeshindwa, lakini napenda kuwakumbusha kuwa kila tukio lina right timing yake, umri wa CCM ulikuwa haujaisha wakati Mkapa, Magufuli na wengine bado wapo hai, maana chama kilifikia hatua waatu hawaiogopi katiba yao bali wanaogopa viongozi wakali waliopo, sasa hawapo, je niambie nani ni , "BABA NDANI YA CHAMA HICHO SASA, NA ANA SIFA GANI?"

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa CCM sio mama yake, je nyie mlioikuta tu mnajifanya CCM ni zaidi ya mama zenu?
NI UKWELI KUWA UPINZANI SAHIHI UTAKAOSHIKA NCHI HII UNAPASWA UTOKEE NDANI YA CCM KWA SABABU ZIFUATAZO:
  • Viongozi watakaounda chama kipya watakuwa wana uzoefu mzuri wa siasa ya nchi yetu na misingi yake iliyowekwa na waasisi hivyo wataanzisha chama kinachokuja kurudisha uzalendo upya bila kuiasi misingi ya taifa (ni lazima wakubali kutoka na yale mema CCM, maana hayo ni ya waasisi na wananchi sio ya hao mafisadi watakaobaki humo)
  • Kwakuwa watakuwa ni watu walewale (ila wazalendo), hawatakuwa na kazi kubwa kufikia matawi yote na mashina yote nchi nzima kwani CCM itapasuka juu mpaka chini kama pazia la hekalu, hii itawarahisiahia kuwa tayari wakati uchaguzi utakapofika 2025, jambo hilo ni tofauti iliyosababisha vyama kama Chadema kushindwa kuchukua madaraka kwa urahisi.
  • Ni chama kipya ndio kutoka CCM ndio kitawezesha kuwe na power check na power balance ya ukweli katika taifa hili itakayorudisha nguvu ya kura ya raia na hivyo kuimarisha ama kurudisha demokrasia ya ukweli kwenye taifa letu.
  • Ni chama kipya kutoka CCM ndio kitawezesha kuandikwa katiba mpya ya wananchi katika taifa hili( kubotesha katiba iwe ya wananchi zaidi)

JE, hakuna mpasuko humo ndani ya chama hata sasa watu wanagombaniana vyeo na mali humo?

Historia hakuna wa kushindana nayo, mkiogopa kuanzisha chama jambo ambalo sio dhambi kikatiba ipo siku raia watachoka na risasi ya kwanza itakaporushwa katika tukio lolote lile hapohapo ndipo mafuriko yatakapopasulia njia (MARK MY WORDS)

SUGGESTED READINGS;
*Mwili umekosa kichwa ( jukwaa la siasa)
*Hili liwe funzo: tudai katiba bora zaidi (maboresho) - jukwaa la katiba mpya.
  • Serikali na mwarobaini wa matatizo yetu (Jukwaa la siasa)
  • Ukweli mchungu, ngumu lakini ndivyo ilivo ( jukwaa la siasa)
NB: wazalendo mliopo humu JF naomba uzi huu kwa vyovyote uwafikie Polepole, Mangula et al.
Tuepuke mawazo mgando, CCM milele, sio Mungu CCM, inaweza anguka pia kama marekani, kama zambia!
Tatizo wanaongea sasa baada ulaji wao na maviete kuondoka. Wakati wa ulaji walimpinga kila aliyeongea
 
Kumbe Kama ndivyo kwa nini mnaogopa chama dhaifu kisicho hata na sura ya kitaifa?!!! Tuweke katiba mpya na Tume huru tuingie uwanjani.

Haiwezekani Refa achaguliwe na GSM, alipwe na GSM Yeye na marefa wasaidizi wote, kin karia wote wateuliwe nankupiwa na GSM halafu eti utegemee kombe liende msimbazi!!!!! Kama si uchuro huo ni nini??!!

Kama ccm vidume kweli tuweke vyombo huru vya kusimamia uchaguzi afu gemu lipigwe kama hamjanyolewa hata 10 kwa yai.

Hoja iliyoko mezani umeisoma na kuielewa?
 
Nawasalimu wadau wote wa jukwaa hili; ninaomba tushirikiane kwa pamoja kuangalia jambo hili kutoka pande mbalimbali na kuona kama linaweza kuwa ni uamuzi sahihi kwa majira haya ambayo taifa letu limefikia sasa.

Wote tunakubaliana kuwa kila jambo huwa na mwisho wake na historia inajengwa na matukio. Huwezi kupingana na uhalisia halisi pale matukio yanapokuwa yakijenga historia, tumeona falme zilivyoinuka zikafika kileleni zikang'ara na zikaporomoka muda wake ulipoisha, na ni matukio ndio yamesababisha, cause and effect. Uingereza iliwika ikaja marekani na sasa mchina anatake over mbele ya macho ya ulimwengu mzima na hakuna awezaye kuzuia hata mmarekani mwenyewe anafurukuta tu, kwa sababu yameshafanywa matukio na mmarekani mwenyewe na wenzzie yanayosababisha hayo, hivyo hawezi tena kuzuia.

Tanzania tunapotimiza miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika kuna mambo mengi yametokea katika historia ya siasa yetu. Ni kitabu kizima unaweza kujaza matukio hayo yakiwemo ya ufisadi, vifo vya viongozi wema kama hayati sokoine, n.k na hayajaacha kutokea mpk kesho! Wote tunakumbuka viongozi kama Nyerere alipokuwepo alivyolazimika kuwa anakemea mpaka watawala kama watoto wadogo wasiojua nin wanafanya, tumeona hayati Magufuli nae alijaribu kukemea na kuwaadhibu pia, leo hii watu hao wa kukemea na kuwafunga kengele viongozi waovu wote wamekwenda zao, je taifa litaelekea wapi wale mbwa wakifunguliwa?

Tunaona watu kama Polepole wanavyojaribu kuongea lakini wote tunajua na hata yy mwenyewe amekiri mara nyingi kujaribu kutishwa na wengine ndani yachama ili asiongee, je ameongea lipi baya la kutaka kumfunga mdomo?

Ni wazi chama cha mapinduzi sasa kimepoteza legitimacy ya kutawala nchi rasmi! Kwani yote yanayofanyika humo ni kinyume na misingi ya siasa za nchi yetu na siasa za chama hicho chenyewe ambavyo vyote pamoja viliwekwa na waasisi wa taifa letu mwanzoni kabisa. Ni matukio mengi yametokea na leo ni ukomavu wa matukio hayo tu, huwezi kusema eti bado tukipe nafasi utakuwa hujuihistoria vizuri wewe, maaana ikifika ukomavu wa matukio historia inadai mabadiriko na utake usitake yatakuja tu hata ulie, ugalegale , no way!

Chama cha mapinduzi ndani yake chembe za watu wasafi zimebaki chache kuliko walio waovu, na tunaona wanavyokuja kwa nguvu mpaka raia wote wamejikatia tamaa kabisa. Sasa kuibuka tena mtu mzalendo na kufanya miujiza aliyofanya hayati Magufuli ndani ya chama hicho ni ndoto isiyowezekana.

TUFANYAJE
Wazalendo waliobaki ndani ya chama hicho mkubali matokeo, (ngumu kumeza), lakini ni wakati wa nyinyi kuja na CHAMA KIPYA CHA SIASA NCHI HII.

Najua mtasema kuwa kuna vyama vingi vimeshindwa, lakini napenda kuwakumbusha kuwa kila tukio lina right timing yake, umri wa CCM ulikuwa haujaisha wakati Mkapa, Magufuli na wengine bado wapo hai, maana chama kilifikia hatua waatu hawaiogopi katiba yao bali wanaogopa viongozi wakali waliopo, sasa hawapo, je niambie nani ni , "BABA NDANI YA CHAMA HICHO SASA, NA ANA SIFA GANI?"

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema kuwa CCM sio mama yake, je nyie mlioikuta tu mnajifanya CCM ni zaidi ya mama zenu?
NI UKWELI KUWA UPINZANI SAHIHI UTAKAOSHIKA NCHI HII UNAPASWA UTOKEE NDANI YA CCM KWA SABABU ZIFUATAZO:
  • Viongozi watakaounda chama kipya watakuwa wana uzoefu mzuri wa siasa ya nchi yetu na misingi yake iliyowekwa na waasisi hivyo wataanzisha chama kinachokuja kurudisha uzalendo upya bila kuiasi misingi ya taifa (ni lazima wakubali kutoka na yale mema CCM, maana hayo ni ya waasisi na wananchi sio ya hao mafisadi watakaobaki humo)
  • Kwakuwa watakuwa ni watu walewale (ila wazalendo), hawatakuwa na kazi kubwa kufikia matawi yote na mashina yote nchi nzima kwani CCM itapasuka juu mpaka chini kama pazia la hekalu, hii itawarahisiahia kuwa tayari wakati uchaguzi utakapofika 2025, jambo hilo ni tofauti iliyosababisha vyama kama Chadema kushindwa kuchukua madaraka kwa urahisi.
  • Ni chama kipya ndio kutoka CCM ndio kitawezesha kuwe na power check na power balance ya ukweli katika taifa hili itakayorudisha nguvu ya kura ya raia na hivyo kuimarisha ama kurudisha demokrasia ya ukweli kwenye taifa letu.
  • Ni chama kipya kutoka CCM ndio kitawezesha kuandikwa katiba mpya ya wananchi katika taifa hili( kubotesha katiba iwe ya wananchi zaidi)

JE, hakuna mpasuko humo ndani ya chama hata sasa watu wanagombaniana vyeo na mali humo?

Historia hakuna wa kushindana nayo, mkiogopa kuanzisha chama jambo ambalo sio dhambi kikatiba ipo siku raia watachoka na risasi ya kwanza itakaporushwa katika tukio lolote lile hapohapo ndipo mafuriko yatakapopasulia njia (MARK MY WORDS)

SUGGESTED READINGS;
*Mwili umekosa kichwa ( jukwaa la siasa)
*Hili liwe funzo: tudai katiba bora zaidi (maboresho) - jukwaa la katiba mpya.
  • Serikali na mwarobaini wa matatizo yetu (Jukwaa la siasa)
  • Ukweli mchungu, ngumu lakini ndivyo ilivo ( jukwaa la siasa)
NB: wazalendo mliopo humu JF naomba uzi huu kwa vyovyote uwafikie Polepole, Mangula et al.
Tuepuke mawazo mgando, CCM milele, sio Mungu CCM, inaweza anguka pia kama marekani, kama zambia!
Nadhani haya mambo ya chama tuache, tuje na mfumo mpya ambao unaletwa na Katiba...Kwakuanzia tuanze na hiyo tume huru kisha tuwe na clauses za kuunda serikali ya kitaifa itakayopigiwa kura kama "transitional government" na kisha hiyo serikali ya tume huru ipangiwe muda fixed say 2025-30& wa kuja na katiba mpya kisha wao wa dissolve kuachia vyama sasa ambavyo vyote vitapambana kwa haki bila kujali kama ni tawala au kipya ila viwe na itikadi zinazotofautiana...

Hao wa serikali ya mpito wasiruhusiwe kuwa wagombea tena na wala wasiwe kwenye chama chochote hiyo ndiyo itakuwa anchor ya tume huru na watakuwa ndiyo advisory board ya tume ambayo itakuwa na watu ambao hawatafungamana na chama chochote bali kuangalia core values za taifa badala ya kuwa na watu...

Chamsingi katiba ieleze hao pioneers wa hiyo board ambao ndiyo interim government Katiba mpya iweke misingi ya utumishi wao sambamba na tume huru ya uchaguzi na wasiruhusiwe kuingilia serikali wakati wa utawala bali role yao inakuwa wakati tu wa chaguzi; hii ita replace indiciduals waliokuwa wanatu moderate kama wazee wetu wa asisi wa CCM akiwemo Baba wa Taifa etc....
 
Mangula sooon wana mchomoa kwenye icho cheo
Ndipo kiama kitakapoanzia....


Niwaambie tu mwanzo wa ngoma ni lele...Watanzania siyo kama mnavyotufikiria...Mtawapa wapinzani nchi kirahisi mno na kwakua wao walishajifungamanisha na watu wenye interest zao italeta shida kwa taifa...Hii equation kuna sehemu huko nyuma nilisema ni very complex asijedhani mtu kuwa its just as simple as they would wish....

Naiombea amani nchi yangu Tanzania; I am lucky I know the end before the beggining!
 
Tatizo ni uanachama hivyo misingi ya Chama chake. Kolimba angezungumza aliyozungumza akiwa ndani ya Chama chake hakuna shida, Kadhalika Membe, Nchimbi, Sophia Simba n.k orodha ni ndefu.

Hicho ndicho kinachomgharimu Polepole leo na asipopata hekima mapema anakoelekea yatamkuta makubwa zaidi.

Aachane na kichaka kinachoitwa ubunge wa taifa, hakuna kitu kama hicho, huo ubunge unafanya kazi bungeni tu tena nako huko Chama chake kina taratibu zake.

Namshauri Polepole kama hawezi kunyamaza na kutumia patform za Chama chake basi apige chini uanachama hivyo ubunge pia awe mwanaharakati huru. Ahadi ya kusema kweli daima ni ndani ya taratibu za Chama chake, vinginevyo he is doing a grave mistake which is a greatest mistake in politics.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
CDM, kwa mfano, ina umri wa miaka takribani 30, lakini national leadership yake imebaki kuwa highly concentrated mahali pamoja! WTF? Opposition parties zingine pia zina shida kama hiyo.
Nimeamua kuwa mkweli kwa nchi yangu; unachosema ni kweli though as other Africans truth scares us so much....

Kuna vyama vinakuwa perceived kama vya kikanda na kuna vingine kama vina vi nasaba vya kidini things which are not good for national alliance....CCM kama siyo state capture ndicho pekee ambacho kina utaifa ndani mwake....

Ninapiga magoti na ninauhakika Mungu anajibu, taifa lina hitaji neutral minds siyo hizi za ki maslahi ndani ya chama kilichopo na hivyo vikundi huko upinzani....Bado hao ambao wamebeba a neutral mind wamo kwenye Chama Tawala zaidi; walio nje ni vijana ambao wengine ni wazalendo ila wakavutwa na makundi yao...Vijana ambao wapo critical na ambao kweli wangelipeleka taifa hili level nyingine hawana platform yeyote but wanaangalia wapi mwenye mrengo unaofanana na desire yao wanamfuata huko; hao wengi wao waliondoka CDM 2014/15 kwa sasa hawajui waelekee wapi.
 
Tatizo ni uanachama hivyo misingi ya Chama chake. Kolimba angezungumza aliyozungumza akiwa ndani ya Chama chake hakuna shida, Kadhalika Membe, Nchimbi, Sophia Simba n.k orodha ni ndefu.

Hicho ndicho kinachomgharimu Polepole leo na asipopata hekima mapema anakoelekea yatamkuta makubwa zaidi.

Aachane na kichaka kinachoitwa ubunge wa taifa, hakuna kitu kama hicho, huo ubunge unafanya kazi bungeni tu tena nako huko Chama chake kina taratibu zake.

Namshauri Polepole kama hawezi kunyamaza na kutumia patform za Chama chake basi apige chini uanachama hivyo ubunge pia awe mwanaharakati huru. Ahadi ya kusema kweli daima ni ndani ya taratibu za Chama chake, vinginevyo he is doing a grave mistake which is a greatest mistake in politics.
He has a problem of prisoners dilemma....Hana institutional power itakayo mpa mileage anayo i enjoy, unfortunately opponents wake wanafahamu hilo ila kuna sehemu hawajui wanateremkia shimoni; ....Mungu si Athumani aiache nchi yetu bila msaada kwa watu wenye ulterior motives...I have a word which creates! So I am confident, Tanzania itashinda na siyo individuals; kila mwenye lengo na dhamira mbaya atashindwa tena kwakuumbuka sana sana...Just mark my words...
 
He has a problem of prisoners dilemma....Hana institutional power itakayo mpa mileage anayo i enjoy, unfortunately opponents wake wanafahamu hilo ila kuna sehemu hawajui wanateremkia shimoni; ....Mungu si Athumani aiache nchi yetu bila msaada kwa watu wenye ulterior motives...I have a word which creates! So I am confident, Tanzania itashinda na siyo individuals; kila mwenye lengo na dhamira mbaya atashindwa tena kwakuumbuka sana sana...Just mark my words...
Naiona Tanzania mpya ya sura yoyote ile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom