Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Hawajui kuwa tumewachoka vibayaaaaaah wanatuchosha tu..
Hawajui kuwa tumewachoka vibayaaaaaah wanatuchosha tu..
Tupo kariakoooMkuu umemezeshwa code, muda wote unazirudia hizo hizo kama vile vispika vidogo vya wamachinga wauza dawa za mende.
Mhh!Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole amesema mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda hakupaswa kufanya sherehe na Polisi kwa sababu kuna mahali hali haikuwa shwari na wao walikaa kimya.
Polepole ameyasema hayo leo Septemba 18,2018 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisi ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar es salaam akielezea sababu za ushindi wa majimbo mawili ya Monduli na Ukonga.
Amesema Chadema wanasema Jeshi la Polisi linawasaidia CCM ilihali aliyekuwa mgombea ubunge wa chama chao kwenye Jimbo la Ukonga Asia Msangi alimkwida msimamizi wa uchaguzi mbele ya Polisi na walikuwa wametulia.
"Makonda hakupaswa kufanya sherehe nao kwa sababu kuna mahali sheria ya tume ilikuwa inakiukwa na wao wapo wametulia" amesema Polepole.
Amesema pamoja na yote CCM inathamini uwepo wa vyama vya upinzani na wanataka wakosolewe na kupewa mawazo mbadala.
"Kwa bahati mbaya hawa wenzetu kazi yao ni kukosoa tu" amesema
Pia, Katibu huyo aliutaka upinzani utambulike kwa itikadi za vyama vyao badala ya kuonekana mtu zaidi ya chama.
"Kama chama kinachojinasibu kuwa ni mpinzanii mkuu na ninachelea kukiita mpinzani na ninashukuru wameshindwa vibaya, ukimtoa yule kiongozi wao na wapambe wake wa karibu Kinabaki nini, ACT Wazalendo ukimtoa mjomba kinabaki nini.”
"Wajenge kwanza itikadi ya vyama vyao itambulike, CCM ni taasisi inayotambulika kiitikadi" amejinasibu Polepole.
Chanzo: Mwananchi
Hahahaaaa........umenikumbusha Yale mafuso ya Mbowe aliyowauzieni!Wewe subiri upandoshwe kwenye tipa kama mchanga ukashangilieView attachment 870296
Hahahaaaa........umenikumbusha Yale mafuso ya Mbowe aliyowauzieni!
Waanzisha fujo haoView attachment 870101
Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole amemkosoa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa kitendo chake cha kuwafanyia sherehe Askari Polisi walikuwa katika jukumu la kulinda usalama wakati wa zoezi la Uchaguzi wa marudio.
Polepole amekosoa pia kitendo cha Askari Polisi kushindwa kuingilia kati pale Mgombea ubunge wa CCM, Asiah Msangi alipomdhalilidha mmoja wa wasimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Ukonga huku yeye akishindwa kuingilia kati.
View attachment 870112
POLEPOLE AKOSOA NIA YA RC DAR KUWAFANYIA SHEREHE POLISI
View attachment 870102
Kwa hiyo mambo sasa na DAB walinengua sababu ni CCM???Ndo uzuri wa chama cha mapinduzi, wanatofautiana mitizamo wakiwa chama kimoja na maisha yanaendelea, hebu jaribu chagadema umpinge Mbowe kama utasavaivu, thubutu!,utaishia kuitwa msaliti tu, Mbowe ni chairman wa maisha
Katika mfumo wa vyama vingi naomba kujua kuwa ccm ilipata usajili tarehe ngapi?Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole amesema mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda hakupaswa kufanya sherehe na Polisi kwa sababu kuna mahali hali haikuwa shwari na wao walikaa kimya.
Polepole ameyasema hayo leo Septemba 18,2018 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisi ndogo ya CCM Lumumba jijini Dar es salaam akielezea sababu za ushindi wa majimbo mawili ya Monduli na Ukonga.
Amesema Chadema wanasema Jeshi la Polisi linawasaidia CCM ilihali aliyekuwa mgombea ubunge wa chama chao kwenye Jimbo la Ukonga Asia Msangi alimkwida msimamizi wa uchaguzi mbele ya Polisi na walikuwa wametulia.
"Makonda hakupaswa kufanya sherehe nao kwa sababu kuna mahali sheria ya tume ilikuwa inakiukwa na wao wapo wametulia" amesema Polepole.
Amesema pamoja na yote CCM inathamini uwepo wa vyama vya upinzani na wanataka wakosolewe na kupewa mawazo mbadala.
"Kwa bahati mbaya hawa wenzetu kazi yao ni kukosoa tu" amesema
Pia, Katibu huyo aliutaka upinzani utambulike kwa itikadi za vyama vyao badala ya kuonekana mtu zaidi ya chama.
"Kama chama kinachojinasibu kuwa ni mpinzanii mkuu na ninachelea kukiita mpinzani na ninashukuru wameshindwa vibaya, ukimtoa yule kiongozi wao na wapambe wake wa karibu Kinabaki nini, ACT Wazalendo ukimtoa mjomba kinabaki nini.”
"Wajenge kwanza itikadi ya vyama vyao itambulike, CCM ni taasisi inayotambulika kiitikadi" amejinasibu Polepole.
Chanzo: Mwananchi
Dawa ya Polepole iko jikoni maana naona ameanza mazoea ya kumgusa mtoto wa mtukufu.Anapaswa kuepuka yaliyomkuta yule jamaa wa kule Mtama.Kwa hiyo mambo sasa na DAB walinengua sababu ni CCM???
Mwenezi analiona tatizo kwa jicho la chama, kwamba, kuna mahali hali haikuwa nzuri hivyo sherehe haikupaswa kufanywa"Hivi punde, post: 28420500, member: 426068"]Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole amesema mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda hakupaswa kufanya sherehe na Polisi kwa sababu kuna mahali hali haikuwa shwari na wao walikaa kimya.
Alitoa taarifa kunakohusika kama inavyosemwa kila siku?Amesema Chadema wanasema Jeshi la Polisi linawasaidia CCM ilihali aliyekuwa mgombea ubunge wa chama chao kwenye Jimbo la Ukonga Asia Msangi alimkwida msimamizi wa uchaguzi mbele ya Polisi na walikuwa wametulia.
Kama si kukiukwa anakosema sherehe ilikuwa sahihi.Haoni tatizo RC akiwa na Police wanatumbuika ndani ya kambi"Makonda hakupaswa kufanya sherehe nao kwa sababu kuna mahali sheria ya tume ilikuwa inakiukwa na wao wapo wametulia" amesema Polepole.
Vema ,neno 'WAKOSOLEWE' na MAWAZO MBADALAAmesema pamoja na yote CCM inathamini uwepo wa vyama vya upinzani na wanataka wakosolewe na kupewa mawazo mbadala.
Sijui alimaanisha nini kuhusu 'wanataka wakosolewe' halafu analaumu wakikosoa hivi hajui kuwa mawazo mbadala ndiko kukosoa kwenyewe"Kwa bahati mbaya hawa wenzetu kazi yao ni kukosoa tu" amesema
Haelewi unapomchukua mbunge wa upinzan aliyechaguliwa kwa itikadi ya CDM, akahamia CCM na ''kushinda' hapo hakuna itikadi ya CCM.Pia, Katibu huyo aliutaka upinzani utambulike kwa itikadi za vyama vyao badala ya kuonekana mtu zaidi ya chama.
Wameshindwa vibaya! Watashindaje ikiwa kuna sherehe!! mamlaka zinazohusu vyama na uchaguzi zikiwa kimya!"Kama chama kinachojinasibu kuwa ni mpinzanii mkuu na ninachelea kukiita mpinzani na ninashukuru wameshindwa vibaya, ukimtoa yule kiongozi wao na wapambe wake wa karibu Kinabaki nini, ACT Wazalendo ukimtoa mjomba kinabaki nini.”
CCM ina itikadi gani ?Hivi yanayoendelea ni itikadi? Leo mtu analala CDM na ACT kesho CCM,ana itikadi gani?"Wajenge kwanza itikadi ya vyama vyao itambulike, CCM ni taasisi inayotambulika kiitikadi" amejinasibu Polepole.