Polepole: Kigogo aliyetaka kumshauri wa Rais amenyimwa nafasi ya kukutana na Rais

Polepole: Kigogo aliyetaka kumshauri wa Rais amenyimwa nafasi ya kukutana na Rais

Hamatan

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2020
Posts
6,512
Reaction score
15,098
Polepole amesema kuwa amekutana na mshauri mmoja ambaye anampenda sana Rais Samia, na kwamba wakati wote wa majadiliano yake, yeye Polepole alipotaka kuzielekeza lawama zake kwa Samia, huyo mshauri alikataa kabisa na kusema kuwa Rais Samia ni mtu mzuri sana ila kuna watu waovu ndio wanaomharibia.

Baadaye Polepole akamweleza kuwa kama anayoyasema ni kweli kwa nini asionane na Samia na kumshauri juu ya hao watu wabaya waliomzunguka wenye nia ya kumharibia, kwa maslahi yao binafsi? Ndipo huyo mtu akasema anaenda kuonana na Rais. Baadaye amempa taarifa kuwa alipoenda ikulu amekataliwa kuonana na Samia.

Akaamua kwenda kwa makamu mwenyekiti wa chama Mzee Wasira ili amsaidie kumfanyia appointment, mzee Wasira amekataa. Akaomba basi yeye Wasira amfikishie Samia ushauri wake, Wasira amekataa.

Ni dhahiri kuwa huko ndani ya CCM, huenda kuna watu wanaumia kwa maovu yanayoendelea kuliko tuliopo huku nje.

Mungu azidi kuwajalia ujasiri wale wote wenye dhamira njema na Taifa hili bila ya kujali wapo upande gani.

Kwa namna Samia alivyokuwa ameanza, na ukiangalia yanayoendelea leo, yawezekana kweli kuna waovu wamemzunguka.
 
Kwahiyo hawa wanamtandao ndio wanahusika na utekaji,kuleta dp world,kuwapa misitu na kuwafukuza wamasai ngorongoro?Pole pole anyooshe maelezo anasema vitu nusu nusu.kwa maelezo yake haya inaonekana hana shida na Samua kugombea hadi 2030 .halafu hajatuambia lengo la wanamtandao kumpotosha Rais.
 
Polepole amesema kuwa amekutana na mshauri mmoja ambaye anampenda sana Rais Samia, na kwamba wakati wote wa majadiliano yake, yeye Polepole alipotaka kuzielekeza lawama zake kwa Samia, huyo mshauri alikataa kabisa na kusema kuwa Rais Samia ni mtu mzuri sana ila kuna watu waovu ndio wanaomharibia.

Baadaye Polepole akamweleza kuwa kama anayoyasema ni kweli kwa nini asionane na Samia na kumshauri juu ya hao watu wabaya waliomzunguka wenye nia ya kumharibia, kwa maslahi yao binafsi? Ndipo huyo mtu akasema anaenda kuonana na Rais. Baadaye amempa taarifa kuwa alipoenda ikulu amekataliwa kuonana na Samia.

Akaamua kwenda kwa makamu mwenyekiti wa chama Mzee Wasira ili amsaidie kumfanyia appointment, mzee Wasira amekataa. Akaomba basi yeye Wasira amfikishie Samia ushauri wake, Wasira amekataa.

Ni dhahiri kuwa huko ndani ya CCM, huenda kuna watu wanaumia kwa maovu yanayoendelea kuliko tuliopo huku nje.

Mungu azidi kuwajalia ujasiri wale wote wenye dhamira njema na Taifa hili bila ya kujali wapo upande gani.

Kwa namna Samia alivyokuwa ameanza, na ukiangalia yanayoendelea leo, yawezekana kweli kuna waovu wamemzunguka.
Kete anazosukuma HPP ni zile kubwa kubwa tu usipo makinika unapigwa supa ukiwa umesukuma kete zako mbili tu au tatu.
 
Hivi ikitokea Hamphrey Polepole amevuliwa uanachama je atakua na na ushawishi tena ndani ya Ccm?
 
Mzee Wasira ngoma ngumu hawezi kuruhusu kitu chochote akikumbuka lile vumbi alilokutana nalo akiwa anashinda kukata rufaa huko mahakamani atakomaa mpaka mwisho hapo...
 
Pole Pole fanya hivyo hivyo kidharura dharura ili TISI-HARA-EI washindwe kutoa order ya kuzuia Youtube na Facebook.

Yaani wewe andaa nondo halafu ibuka tu ghafla live na kupiga MISHONO.

Ukitangaza siku flani utashusha nondo wanablock youtube na facebook.
 
Polepole amesema kuwa amekutana na mshauri mmoja ambaye anampenda sana Rais Samia, na kwamba wakati wote wa majadiliano yake, yeye Polepole alipotaka kuzielekeza lawama zake kwa Samia, huyo mshauri alikataa kabisa na kusema kuwa Rais Samia ni mtu mzuri sana ila kuna watu waovu ndio wanaomharibia.

Baadaye Polepole akamweleza kuwa kama anayoyasema ni kweli kwa nini asionane na Samia na kumshauri juu ya hao watu wabaya waliomzunguka wenye nia ya kumharibia, kwa maslahi yao binafsi? Ndipo huyo mtu akasema anaenda kuonana na Rais. Baadaye amempa taarifa kuwa alipoenda ikulu amekataliwa kuonana na Samia.

Akaamua kwenda kwa makamu mwenyekiti wa chama Mzee Wasira ili amsaidie kumfanyia appointment, mzee Wasira amekataa. Akaomba basi yeye Wasira amfikishie Samia ushauri wake, Wasira amekataa.

Ni dhahiri kuwa huko ndani ya CCM, huenda kuna watu wanaumia kwa maovu yanayoendelea kuliko tuliopo huku nje.

Mungu azidi kuwajalia ujasiri wale wote wenye dhamira njema na Taifa hili bila ya kujali wapo upande gani.

Kwa namna Samia alivyokuwa ameanza, na ukiangalia yanayoendelea leo, yawezekana kweli kuna waovu wamemzunguka.
Mwendo wa kupora magoli kwa ccm ni kawaida.
 
Polepole amesema kuwa amekutana na mshauri mmoja ambaye anampenda sana Rais Samia, na kwamba wakati wote wa majadiliano yake, yeye Polepole alipotaka kuzielekeza lawama zake kwa Samia, huyo mshauri alikataa kabisa na kusema kuwa Rais Samia ni mtu mzuri sana ila kuna watu waovu ndio wanaomharibia.

Baadaye Polepole akamweleza kuwa kama anayoyasema ni kweli kwa nini asionane na Samia na kumshauri juu ya hao watu wabaya waliomzunguka wenye nia ya kumharibia, kwa maslahi yao binafsi? Ndipo huyo mtu akasema anaenda kuonana na Rais. Baadaye amempa taarifa kuwa alipoenda ikulu amekataliwa kuonana na Samia.

Akaamua kwenda kwa makamu mwenyekiti wa chama Mzee Wasira ili amsaidie kumfanyia appointment, mzee Wasira amekataa. Akaomba basi yeye Wasira amfikishie Samia ushauri wake, Wasira amekataa.

Ni dhahiri kuwa huko ndani ya CCM, huenda kuna watu wanaumia kwa maovu yanayoendelea kuliko tuliopo huku nje.

Mungu azidi kuwajalia ujasiri wale wote wenye dhamira njema na Taifa hili bila ya kujali wapo upande gani.

Kwa namna Samia alivyokuwa ameanza, na ukiangalia yanayoendelea leo, yawezekana kweli kuna waovu wamemzunguka.
Upumbavu mtupu,mama samia huingia humu, ushauri wao mzuri wauweke humu
 
Back
Top Bottom