Dr Adam Francis
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 464
- 687
Kuhusu wito wako kwa watanzania kujiunga na mapambano yako dhidi ya Samia pamoja na unaloliita kundi la mtandao, Achebe anasimulia:
“Its too late, said Obierika sadly. The white man has put a knife on the things that held us together, and we have fallen apart the centre cannot hold. Our own men and our sons have joined the ranks of the stranger. They have joined his religion and they help to uphold his government. If we should try to drive out the white men in Umuofia we should find it easy. There are only two of them. But what of our own people who are following their way and have been given power? They would go to Umuru and bring the soldiers, and we would be like Abame.”
Tafakari, wakati huu, hawa walioteuliwa kugombea ubunge na udiwani; wao na wapambe wao, sasa hivi tayari wanauona uheshimiwa ule pale unanukia, nani miongoni mwao ataahirisha safari yake hiyo ya kuelekea nchi ya ahadi aje ajiunge na maisha yako ya kutwa kuwindwa kama digidigi?
Obierika alimshauri maneno haya Okonkwo, mtu shujaa Umofia, aliyeka kupamba uvamizi wa wazungu; “And let me tell you one thing, my friend. If I were you I would have stayed home. What you have done will not please the Earth. It is the kind of action for which the goddess wipes out whole families.”
Sote ni mashahidi wa nini ulikuwa mwisho wa Okonkwo, shujaa wa Umofia, alipojiua mwenyewe baada ya harakati zake kushindwa. Obierika alihitimisha kwa kusema; “That man was one of the greatest men in Umuofia. You drove him to kill himself, and now he will be buried like a dog”
“Its too late, said Obierika sadly. The white man has put a knife on the things that held us together, and we have fallen apart the centre cannot hold. Our own men and our sons have joined the ranks of the stranger. They have joined his religion and they help to uphold his government. If we should try to drive out the white men in Umuofia we should find it easy. There are only two of them. But what of our own people who are following their way and have been given power? They would go to Umuru and bring the soldiers, and we would be like Abame.”
Tafakari, wakati huu, hawa walioteuliwa kugombea ubunge na udiwani; wao na wapambe wao, sasa hivi tayari wanauona uheshimiwa ule pale unanukia, nani miongoni mwao ataahirisha safari yake hiyo ya kuelekea nchi ya ahadi aje ajiunge na maisha yako ya kutwa kuwindwa kama digidigi?
Obierika alimshauri maneno haya Okonkwo, mtu shujaa Umofia, aliyeka kupamba uvamizi wa wazungu; “And let me tell you one thing, my friend. If I were you I would have stayed home. What you have done will not please the Earth. It is the kind of action for which the goddess wipes out whole families.”
Sote ni mashahidi wa nini ulikuwa mwisho wa Okonkwo, shujaa wa Umofia, alipojiua mwenyewe baada ya harakati zake kushindwa. Obierika alihitimisha kwa kusema; “That man was one of the greatest men in Umuofia. You drove him to kill himself, and now he will be buried like a dog”