Polepole: CCM ni Chama Cha Mungu wa Mbinguni

Polepole: CCM ni Chama Cha Mungu wa Mbinguni

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,528
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC

Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni hadhiakiwi!
 
Chakubanga... Ni bora waandishi wa vitabu waandike vitabu kuhusu huu utawala... Nadhani hadi sasa kitabu kinaweza kua kikubwa kuliko kile cha yeriko nyerere Cha ujasusi wa kidora na kiuchumi
 
Mbingu ipi?
Chama kilichoshindwa kuwatoa wananchi kwenye umaskini mzito.
Ukifika Dodoma vijijini, Kigoma vijijuni, Lindi vijijini, Mtwara vijijini, Shinyanga, Tabora n.k wananchi wana hali ngumu sana.
CCM wameshindwa kuitumia bahari iliyoanzia kaskazini mpaka kusini mwa Tanzania kuwatoa watu kwenye umaskini.
CCM wameshindwa kuzitumia hifadhi za Taifa kuwatoa watu kwenye umaskini.
CCM wameshindwa kuitumia ardhi kubwa ya Tanzania kuwatoa watu kwenye umaskini mzito. Tanzania kila zao linakubali. Kama likigoma Moshi , Lindi litakubali, Kama likigoma Singida, Njombe litakubali etc .
CCM wameshindwa kuitumia migodi ya madini kuwatoa watu watu kwenye umaskini mzito.
Eti CCM chama cha miungu ya mbinguni
 
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC

Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
Mungu wa CCM yupo hapa hapa Duniani ambae ni Jiwe
 
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC

Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!

Mkuu sijui pole pole kala maharage ya aina gani.
 
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC

Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
Unajua ndugu na kumbuka maandiko Fulani wananchi walimsifia mfalme wao hadi wakafika mahali wakasema sauti ya mfalme ni kama sauti ya Mungu kilichomtokea huyo mfalme mmmh hata haya ya vyama tumefika mahali tunasema vya Mungu yatatutokea bora angesema chama cha kipo kwa mpango Wa Mungu badala ya kusema ni chama cha Mungu alafu madaraka yakulevya ni kitu kibaya sana
 
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC

Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
Huna lolote ! mnafiki mkubwa wee ! tangu lini wewe ukajitenga na uharamia wa ccm ? mwenyekiti wako alipotangaza kwamba njooni kwangu mliolemewa na mizigo ya dhambi nami nitawapumzisha mbona hukushangaa ?
 
Yaani jamaa anakiaibisha ccm anataka kututhibitishia kuwa ukiwa ccm huitaji ubongo
 
Katibu wa uenezi ndugu Polepole kupitia kipindi cha kutekeleza ilani ya CCM kinachorushwa na TBC amesema CCM ni chama cha Mungu wa mbinguni. Polepole ameyasema hayo huko Malinyi mkoani Morogoro.
Source TBC

Johnthebaptist nikiwa hapa nchini Israel kiibada nawashauri wanasiasa wachunge sana ndimi zao kwani Mungu wa Mbinguni haziakiwi!
Hahaha FaizaFoxy Njoo huku, kuna mtu anaharibu Kiswahili chetu.
Zihaka=Dhihaka
Haziakiwi=Hadhihakiwi
 
Back
Top Bottom