KWANZA TV TUMEULIZA:
Kwa kurejea ripoti ya tume iliyoshughulikia sakata la mchanga na kukabidhiwa Rais Magufuli, je, CCM inakiri kuwa ndiyo iliyotuangusha kama Taifa kwa kutuingiza kwenye mikataba mibovu ya madini?
Humphrey Polepole kajibu hivi:
SIJAWAH KUMCHAGUA HATA MMOJAila c ndo ninyi mnayachaguaga!
CCM LAGERHuyu siyo yule pole pole wa kudai katiba. Sijui wakishangia huko CCM wanapewa kinywagi gani yarabi.
SWADAKTAYaani akili Za CCM Ni Za ki bashite bashite. Nadhani polepole angejibu tu vita dhidi ya madawa ya kulevya haijawahi kukiacha chama Salama.
CCM ndio wanakuwa hivyo hata Nape alikuwa na majibu ya hovyo. Majibu ni ovyooo kabisa.
Hakuna cha CCM mpya CCM ni ileile.kwanini ccm mpya inaanza kuja kupitia Dr J Pombe our President
CCM wameharibu, halafu vinara wla uharibifu wakimaliza kazi wanapewa hifadhi CHADEMA! Sumaye alikuwa Waziri Mkuu na kiongozi wa serikali bungeni wakati sheria ya kinyonyaji ikipitishwa, na kwa miaka 10 alitulia kwenye kiyoyozi wakati mchanga unasafirishwa.
Mkataba wa mwanzo uliondelezwa kipindi cha JK na Lowassa alikuwa Waziri Mkuu, leo hii yuko CHADEMA anapigania 'demokrasia'?
Mwisho, unaweza kusema usiku wa kusaign mkataba wa Buzwagi Karamagi aliongozana na nani? Tafuta jibu ndio utajua kwanini Lissu anapiga siasa kwenye hii saga ya mchanga. Na bado atapata shida na hivyo vipande 30.
Umetumia vigezo gani vya kumsamehe mwinyi ambavyo havi apply kwa hao wengine