B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,285 24,161 Oct 10, 2020 #1 Humphrey Polepole akielezea hatari za madaraka makubwa ya Rais kwa mujibu wa katiba iliyopo nchini Tanzania Rais amekuwa kama Mungu Mtu
Humphrey Polepole akielezea hatari za madaraka makubwa ya Rais kwa mujibu wa katiba iliyopo nchini Tanzania Rais amekuwa kama Mungu Mtu
B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,285 24,161 Oct 10, 2020 Thread starter #3 Kweli muda huwa unatuambia ukweli kuhusu mwanasiasa huyu wa CCM Mpya.
Mystery JF-Expert Member Mar 8, 2012 15,480 30,152 Oct 10, 2020 #4 Aisee hawa Polepole ni watu wawili tofauti sana! Huyu Polepole wa wakati ule wa Katiba ya Warioba na huyu Polepole ambaye ni Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM, ni watu wawili tofauti sana!
Aisee hawa Polepole ni watu wawili tofauti sana! Huyu Polepole wa wakati ule wa Katiba ya Warioba na huyu Polepole ambaye ni Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM, ni watu wawili tofauti sana!
Eng. Zezudu JF-Expert Member Aug 23, 2012 7,811 10,819 Oct 10, 2020 #5 Itakuwa alifanyiwa human clone. Kuna haja ya kumchunguza vizuri .
B bagamoyo JF-Expert Member Jan 14, 2010 21,285 24,161 Oct 10, 2020 Thread starter #6 Eng. Zezudu said: Itakuwa alifanyiwa human clone. Kuna haja ya kumchunguza vizuri . Click to expand... CCM Mpya ni watu wabaya hawaruhusu mtu kuongea anachoamini !
Eng. Zezudu said: Itakuwa alifanyiwa human clone. Kuna haja ya kumchunguza vizuri . Click to expand... CCM Mpya ni watu wabaya hawaruhusu mtu kuongea anachoamini !
Bambushka JF-Expert Member Jan 9, 2020 3,956 7,209 Oct 10, 2020 #7 Hii clip Chakubanga inabidi tumbadili jina tumuite Chakubimbi maana kulikuwa na msemo miaka ile ukisema, CHAKUBIMBI UKIMUONA MUOGOPE! Everyday is Saturday................................
Hii clip Chakubanga inabidi tumbadili jina tumuite Chakubimbi maana kulikuwa na msemo miaka ile ukisema, CHAKUBIMBI UKIMUONA MUOGOPE! Everyday is Saturday................................