Polepole: Agenda ya uteuzi wa Samia ni Res Judicata kwa sasa

Polepole: Agenda ya uteuzi wa Samia ni Res Judicata kwa sasa

Dr Adam Francis

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2011
Posts
464
Reaction score
687
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.
 
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.
Bila shaka Wewe ni miongoni mwa wale wa 7k/day
 
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.
Usilazimishe msimamo wako na mwingine akuunge mkono. Haramu ni haramu tu haijalishi ni' res judicata' au ni 'res integra' vyote ni useless kama matakwa ya katiba na hisia za wananchi zimekiukwa.

Haieleweki kama wewe ni msomi au ni mmoja wa machawa wachafu....ni kwamba chuma ndio kinabeba udongo na maji ila udongo hauwezi kubeba chuma na pakawa na utulivu.

Utawala wa mteule wenu hautakuwa tulivu kamwe hata kama mtatumia mabavu kulazimisha hesabu za integral and differentiation zitakataa mapema sana....
 
Je Chadema wanastahili kunyimwa haki ya kugombea?
CHADEMA sio tu ni muhimu wapewe fursa ya kugombea bali madai yao ya reforms natamani yafanyiwe kazi, inaweza isiwe kwa asilimia mia lakini angalau minimum reforms zitakazowezesha uchaguzi huru na haki kufanyika. Hivyo ndivyo tutakavyodumisha umoja wa Taifa letu.
 
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.


Kunywa bia au soda then weka lipa namba hapa

Ccm walitakiwa kuwa na uono kama wako,

Na sio matusi na kejeli
 
Res Judicata imeeleweka kikamilifu. polepole na kikundi chake cha kuendeleza hila walizotaka Mama yetu Mh. Rais SSH asiapishwe kuwa Rais hawatafanikiwa na wataaibika na kufadhaika kunako Oktoba 2025.
 
Hiyo Res judicata mbona hamkuitumia kwa katibu mkuu wa chadema John Mnyika? Wanachadema walikubaliana awe katibu mkuu, mbona sasa mmewazuia kufanya siasa?


Chawa huwa hawana akili wala kumbukumbu. Akili wanaiweka tumboni, na ukiweka kitu tumboni, mwisho wake ni chooni. Na mwisho wanabakia kama huyu mleta mada!!
 
Unaweza kumnadi mgombea ambaye amepita kwenye mchakato kimagumashi? If yes basi ngoja tuone mlivyovaa mawani ya mbao.
 
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.
Imagine kama CHADEMA wangekiuka katiba yao kama ccm....just imagine....
Niko pale na Jaji Mutungi tunasubiri jibu
 
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.
Haya ndiyo Makosa yaliyoifikisha nchi hapa ilipo...Waovu na mafisadi wanalijua Hilo fika ndiyo sababu hawaogopi kufanya Makosa tena mengine ya wazi kabisa kwakulazimisha pasipo kujali na kwakiburi Cha hali ya juu, wakijua Makosa Yao huwa hayarekebishwi itaamuliwa tu acha tuendelee tutarekebisha mbele ya safari...Hii ni cancer mbaya sana na imesha set precedence mbovu sana sana kiasi ambacho wanaobeba gharama ni jamii nzima wakati wakosefu hawawajibiki kwa lolote na popote Kwa Makosa Yao....STOP THIS NONSENSE!
 
Katika desturi za kimahakama, uamuzi ukisha fikiwa baina ya watu wawili kuhusu shauri fulani, mahakama hiyo hiyo hairuhusiwi tena kurudia kulisikiliza shauri hilo hilo baina ya watu hao hao tena. Hiyo ndio maana ya Res judicata.

Sasa hivi CCM tayari tuna mgombea urais, Dkt Samia, mchakato majimboni umepamba moto, uteuzi wa madiwani ndio unaelekea tamati. Ni ukweli uliowazi kuwa sasa haiwezekani kurudia huu mchakato. Kupinga uamuzi wa mkutano mkuu kumteua Dkt Samia sasa hivi ni usaliti. Samia ni mgombea wa CCM na wana CCM wote lazima tumtetee.

Ni ukweli, kukosoa, kujikosoa na kukosoana ni nyenzo ya mapinduzi, lakini wakati gani, mahali gani na kwa njia gani hilo linafanyika ni jambo la muhimu pia. Hili lisipozingatiwa tutashindwa kutofautisha kati ya kukosoana na kushambuliana.

Jambo la muhimu kwa sasa ni kuona ni namna gani tutavuka kivuko cha uchaguzi bila kupoteza umoja wa kitaifa, amani na utulivu wetu.
Wewe ni mwehu.
Kwamba ili kuleta amani na utulivu watu wavunje katiba ya nchi?
Chadema walikubaliana kuhusu namna ya kuendesha mambo yao. Msajili akawapangia watu hadi nyumba ili waende mahakamani. Ulikuwa wapi?
 
Back
Top Bottom