Polepole aachwe aongee asinyamazishwe, asizuiwe

Wewe nae ni muhuni muhuni tu wa mwanga huna unalojua. Kama unaona serikali ya awamu ya 5 na 6 zinatofauti ww ni muhuni pia. Mbowe anaozea ndani kesi ya kijinga mashahd wanajichanganya majaji ni wahuni wahuni alaf we mla makande unaongea pumba.
Shame on you old man.
 
Muda ni mwalimu mzuri,yeye kwa upande wake anafikiri anajijenga kisiasa kumbe ndio anajibomoa zaidi.
Siasa za nchi hii wakati mwingine zinahitaji MTU ujifanye kama mjinga hivi or ufunike kombe mwanaharamu apite kwa faida ya mbeleni.
Kujifanya ujuaji mwingi wakati ww ukiwa machungoni huko kijijini kwenu wenzio walikuwa wanafanya siasa unajiharibia.

Upepo ukibadili uelekeo,tulia kwanza then ufuate unakoelekea hiyo ndio busara,kujifanya umwamba sana au ww umeshindikana sana utapigwa tu nami nasema wapigeni mana hamna namna sasa tumechoka.
In mizengo pindas voice
 
Walikosolewa kipindi wakiwa wameshika usukani, mwacheni nae akosoe vilivyo. That's democracy, si ndio mnavyotaka?
 
Nakazia kwenye hizo aya tatu hapo juu mkuu. Wataalamu wa kutunza kumbukumbu endeleeni kutunza. Siku ikifika ushahidi uliokusanywa utafikishwa mahala stahiki kwa ajili ya hatua za kisheria kuchukuliwa.
 
Nahisi bado hujamwelewa mleta uzi. Jipe muda kusoma uzi mzima kwa utulivu, baada ya hapo huenda ukaja na maoni tofauti.
 
NONSENSE, NONSENSE(kwa sauti ya mama)
 
Polopole anapingwa zaidi na makada wa CHADEMA, kwa nini? Adui yao mkubwa mpaka sasa ni legacy ya Magufuli.

Ndiyo mana hawaangalii hoja anazotoa bali kudaka maneno machache na kuyapa maana potofu.

Mfano Polepole alieleza aina ya wahuni aliomaanisha kwenye interview ileile, lakini makamanda wameziba masikio na kulazimisha maana wanayoitaka wao! Lengo kumgombanisha na watawala! Na hii project ya makamanda haiko kwa Polepole tu, bali kwa kiongozi yeyote wanayemuona alimkubali Magufuli!
 
Kuna Watu huwa wanalazimisha tu kuyaanza Maisha ya awali Wodi #26 ( Mortuary ) Muhimbili Hospital na baadae wakayazoee Kimoja ( Mazima ) Makaburini Kinondoni.
 
Umenena. Akiguswa atapata sababu ya kulalamika wakati kulalamika ni asili yake na njia anayoitafuta kutafutia kiki mjalaana huyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…