Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,461
Nawapa pole wasomaji wa JAMHURI, hasa katika Mji wa Dodoma kwa kukosa Gazeti hilo leo. Kilichotokea ni kwamba watu fulani walioguswa na habari wasiyoitaka, wamenunua magazeti yote mitaani.
Hii tabia sasa inaelekea kukubuhu, kwani ni juzi tu Tanzania Daima nalo lilinunuliwa lote baada ya kuwa na habari isiyowafurahisha watu fulani fulani.
Aidha, mwaka jana JAMHURI lilinunuliwa lote nchi nzima na kuteketezwa baada ya kuandika habari za CAG zilizomhusu tajiri fulani.
Ni mambo ya kusikitisha.
Hii tabia sasa inaelekea kukubuhu, kwani ni juzi tu Tanzania Daima nalo lilinunuliwa lote baada ya kuwa na habari isiyowafurahisha watu fulani fulani.
Aidha, mwaka jana JAMHURI lilinunuliwa lote nchi nzima na kuteketezwa baada ya kuandika habari za CAG zilizomhusu tajiri fulani.
Ni mambo ya kusikitisha.