Poleni wana Kigoma, nauli ya ndege Dar-Kigoma ni mara mbili ya Dar-Mwanza

Huo ni ufinyu wa kufikiri. Kigoma inapakana na Congo na Burundi. Kwa hiyo argument kwamba kuna wasafiri wachache haina mashiko. Wafanyabiashara wengi kutoka kongo na burundi wanaofanya biashara hapa DSM wanaweza kutumia route ya kigoma badala ya kupitia Kigali na rwandair. La msingi ni kujipanga na kujitangaza vizuri.
Yaani mtu apande ndege mpk kigoma then achukue basi??maajabu kweli!Toa ushauri mwingine mzuri ili tuboreshe, mathalani route ya kigoma iunganishwe na kwenda Congo DRC au Burundi
 
SURE KILA DELAY YA MAENDELEO HUWA KIGOMA, MPAKA HIVI SASA HATA MTANDAO WA BARABARA ZA KIWANGO CHA LAMI ZINAZOUNGANISHA KIGOMA NA MIKOA MINGINE BADO, DARAJA LA MTO MARAGALASI NDO BADO KABISA, SO KIGOMA WATASUBIRI SANA KUUNGANISHWA NA TANZANIA KTK MIONDOMBINU, NASIKIA HATA MITANDAO YA SIMU WANATUMIA NETWORK FROM BURUNDI NDO RAHISI KWAO

DARAJA TAYARI, LILE UKIPITA KALIUA ( LA KIKWETE) MITANDAO IPO EXCEPT KWA VIJIJI VILIVYOPO MPAKANI NA BURUNDI.

TENA VILE VIJIJI KAMA KATUNGU,KILELEMA,MIGONGO....MASAA YANARUDI NYUMA KWA 1HR. YAANI KAMA KASULU NI SAA MBILI AUSUBUHI HUKO NI SAA MOJA.

ILA KIMANTIKI NI KUWA MAENDELEO YANACHELEWESHWA SANA KULE. MI NADHANI KODI INAYOKUSANYWA KULE ISIENDE SERIKALI KUU- IBAKI KIGOMA YOTE TENDA IONGEZEWE BAJETI KUTOKA MIKOA MINGINE YENYE UNAFUU.
 
Huo ni ufinyu wa kufikiri. Kigoma inapakana na Congo na Burundi. Kwa hiyo argument kwamba kuna wasafiri wachache haina mashiko. Wafanyabiashara wengi kutoka kongo na burundi wanaofanya biashara hapa DSM wanaweza kutumia route ya kigoma badala ya kupitia Kigali na rwandair. La msingi ni kujipanga na kujitangaza vizuri.
Pia uwanja wa kigoma sio mzuri sana kuna maeneo kuna kokoto.sidhani ndege za jet zitataka kwenda huko mpaka Kiwanja kitakapo rekebishwa.
 
Cuj1v76WYAA49Qh.jpg large.jpg



TEAM UNGO TUTAFUTANE
 
Mkoa wa Kigoma mbona kwenye kila fursa ndo unakuwa unatengwa wadau?

Nimepitia nauli za ATCL toka Dar kwenda Kigoma ni Tsh 395,000/=

Nauli ya ATCL toka Dar kwenda Mwanza ni Tsh 160,000/=

Kwa PRECION AIR DAR Kwenda Kigoma ni Tsh 531,200


Kwa PRECION AIR DAR Kwenda Mwanza ni Tsh 313,360

Why jaman wana Kigoma kila kitu mnakuwa mnatengwa na fursa nyeti mpaka kwenye usafiri bei kubwa hivyo
Nafikiri ni kwa sababu hawajajitambua ndo maana wnanyanyaswa, wangejitambua wangejinasua. Kumbuka Kigoma imeunganishwa tu na Tanzania, si sehemu ya Tanzania kwa hiyo hata bei inawekwa kama 'foreign travellers'
 
Kuna tatizo kubwa sana kwenye website ya ATCL haiko friendly nimehangaika sana kuselect tarehe ya kwenda mwanza haionekani kabisa.
Tatizo lingine naona kama zinafanya kazi usiku tu inawezekana kama mimi tu ndo na tatizo kwenye kutumia website yao lakini serious haiko vizuri.
Tatizo lingine ni kwenye payment mode yao hawajaonyesha unalipaje zaidi wanaonyesha contact ATCL ambayo pia haieleweki unawacontact vipi?
Nimejaribu kupiga namba yao ya simu line ya Airtel simu ipo bize muda wote.
Haya matatizo mbona ni rahisi sana kutatuliwa na kuyaweka vizuri au mpaka Magu afike kuwagombeza hapo ndo muyashughulikie. Inatia hasira sana unapoona mambo kama haya madogomadogo tunashindwa hata baada ya kodi zetu kutumika kuwanunulia ndege mjiendeshe
Ni kweli mkuu, website yao iko hovyo.Yaani hawa jamaa wako kizee zee mno hawaelewi hata nafasi ya E-business katika biashara za kisasa.Website inatakiwa iwe inakuwa na update za kila mara na maudhui mapya
 
nani ana ufinyu wa kufikiri sisi au wewe? sisi tunaongelea current stuation wewe unaongelea future plan kichwani upo sawa kweli wewe au!!!!

Στην Ελλάδα δεν γίνονται επενδύσεις, κυρίως, όμως, άμεσες ξένες επενδύσεις, στερώντας τη χώρα
από πολλαπλά οφέλη στην τρέχουσα δύσκολη οικονομική συγκυρία. Οι λόγοι που δεν γίνονται και
οι προϋποθέσεις για να γίνουν επενδύσεις εξετάζονται στην παρούσα εργασία. Σημαντικός
αποτρεπτικός παράγοντας είναι η διαφθορά της εκτελεστικής και δικαστικής εξουσίας της Ελλάδος.
Προτείνεται, λοιπόν, μέχρι την επίλυση του προβλήματος της ελληνικής διαφθοράς, οι ξένες
επενδύσεις να υπάγονται στο θεσμικό και νομικό καθεστώς ξένων χωρών που βρίσκονται πολύ
ψηλά στο σχετικό κατάλογο των λιγότερων διαφθαρμένων χωρών του κόσμου με τη ρήτρα ότι όταν
και η Ελλάδα πλησιάσει αυτές τις χώρες θα ισχύει πλήρως το ελληνικό δίκαιο. Επίσης, προτείνεται
ένα σχέδιο μεγάλων επενδύσεων σε επίπεδο περιφέρειας και νομών οι οποίες θα είναι
θωρακισμένες θεσμικά και νομικά πριν προσκληθούν οι μεγάλοι σοβαροί ξένοι επενδυτές να
ενδιαφερθούν, χωρίς καμία κρατική ενίσχυση και επιδότηση, διότι αποτελούν την κύρια πηγή της
διαφθοράς. Με αυτό τον τρόπο η ελληνική οικονομία θα ανακτήσει τα κεφάλαια που έχασε τα
τελευταία χρόνια και θα προσθέσει και νέα στην προσπάθειά της να ανακάμψει από την ύφεση.
 
Ni kweli mkuu, website yao iko hovyo.Yaani hawa jamaa wako kizee zee mno hawaelewi hata nafasi ya E-business katika biashara za kisasa.Website inatakiwa iwe inakuwa na update za kila mara na maudhui mapya

ATCL wamekosa mtu wa kuendesha website yao na account zao za social media,wasipoangalia hii itawacost
 
Ni kweli mkuu, website yao iko hovyo.Yaani hawa jamaa wako kizee zee mno hawaelewi hata nafasi ya E-business katika biashara za kisasa.Website inatakiwa iwe inakuwa na update za kila mara na maudhui mapya
Yaani taarifa zao hazipo straight wapo kama enzi za maduka ya ushirika tulipokuwa tunaenda kujipangia foleni ya unga wa yanga
 
Kuna tatizo kubwa sana kwenye website ya ATCL haiko friendly nimehangaika sana kuselect tarehe ya kwenda mwanza haionekani kabisa.
Tatizo lingine naona kama zinafanya kazi usiku tu inawezekana kama mimi tu ndo na tatizo kwenye kutumia website yao lakini serious haiko vizuri.
Tatizo lingine ni kwenye payment mode yao hawajaonyesha unalipaje zaidi wanaonyesha contact ATCL ambayo pia haieleweki unawacontact vipi?
Nimejaribu kupiga namba yao ya simu line ya Airtel simu ipo bize muda wote.
Haya matatizo mbona ni rahisi sana kutatuliwa na kuyaweka vizuri au mpaka Magu afike kuwagombeza hapo ndo muyashughulikie. Inatia hasira sana unapoona mambo kama haya madogomadogo tunashindwa hata baada ya kodi zetu kutumika kuwanunulia ndege mjiendeshe
Sio wewe tu mkuu. Website yao ni kimeo kabisaaaaaa. Imekaa kama haya ma-blog ya watu wa mitaani. Umakini wa shirika lololote huonekana kwa kuangalia design ya tovuti yao. Nawashauri hawajachelewa. Walipe fedha ya kutosha wamtafute mtu mwenye skills na experince ya kutengeneza tovuti kama hizo. Ni muhimu sana sana sana kwani mambo mengi siku hizi kwenye bookings, check in etc yanafanyika kwenye internet.
 
Huo ni ufinyu wa kufikiri. Kigoma inapakana na Congo na Burundi. Kwa hiyo argument kwamba kuna wasafiri wachache haina mashiko. Wafanyabiashara wengi kutoka kongo na burundi wanaofanya biashara hapa DSM wanaweza kutumia route ya kigoma badala ya kupitia Kigali na rwandair. La msingi ni kujipanga na kujitangaza vizuri.
Nauli za ndege hupangwa kutegameana na factors nyingi. Hivi hamjiulizi kutoka London mpaka Dar nauli wakati mwingine inaweza kuwa mara mbili ya kutoka Londan mpaka Nairobi? Kinacho amua nauli ya ndege kwenda sehemu fulani ni total cost ya kupeleka ndege kwenye ile sehemu!
 
Back
Top Bottom