Mzee Mwanakijiji mimi namjua jina na nilikuwapo msibani, na aliesoma Wasifu alisema kwa uwazi kabisa Kuwa aliajiliwa kama usalama wa Taifa, akifanya kazi nchi mbalimbali mojawapo ikiwa USSR, aliingia huko baada ya kukataa kwenda Makerere University.
Alikua mzalendo sana amekufa akiwa hajajilimbikizia mali. hakutisha watu kwa nafasi yake, hakua mdokozi wa mali za UMMA.
Rest in Peace mzee.....