Nimewaza mengi na kuwaonea huruma. Lkn Cheo ni Dhamana, iwe ulihongwa au ulikipata kwa sifa za kiutendaji, ni DHAMANA
Inawezekana yako mengi katika yaliyofanya hawa watu watimuliwe, lkn Mh. Rais katika maongezi yake liko jambo kubwa kalisema ambalo ndio hasa limeshababisha WANA CCM KURUDISHA KADI ZAO CHAMANI, jambo lenyewe ni HONGO ILIYOPELEKEA KUHAMISHA MRADI KUTOKA ULIPOTAKIWA KUWA NA KUPELEKWA MAHALA PENGINE.
Kimsingi Rais amewatoa kwa sababu za Utovu wa NIDHAMU NA RUSHWA. je ni lini watapelekwa mahakamani?
Huzuni yangu kubwa ni stress ndani ya familia. Waza tu unapata taarifa ya kufukuzwa kazi kwenye watsap group ya MADC wenzako, Classmates wenzako, au group la mtaaani kwako. Usipokuwa makini unaweza kumchukia alieitupia badala ya alie kutengua.
Ushauri, tukiwa na nafasi za kisiasa tuziweke mbali familia zetu. DCs na DEDs mkiteuliwa msihamie na familia zenu kwenye vituo vya kazi. Nendeni wenyewe, mtaziponya na masimango na Huzuni.
Inawezekana yako mengi katika yaliyofanya hawa watu watimuliwe, lkn Mh. Rais katika maongezi yake liko jambo kubwa kalisema ambalo ndio hasa limeshababisha WANA CCM KURUDISHA KADI ZAO CHAMANI, jambo lenyewe ni HONGO ILIYOPELEKEA KUHAMISHA MRADI KUTOKA ULIPOTAKIWA KUWA NA KUPELEKWA MAHALA PENGINE.
Kimsingi Rais amewatoa kwa sababu za Utovu wa NIDHAMU NA RUSHWA. je ni lini watapelekwa mahakamani?
Huzuni yangu kubwa ni stress ndani ya familia. Waza tu unapata taarifa ya kufukuzwa kazi kwenye watsap group ya MADC wenzako, Classmates wenzako, au group la mtaaani kwako. Usipokuwa makini unaweza kumchukia alieitupia badala ya alie kutengua.
Ushauri, tukiwa na nafasi za kisiasa tuziweke mbali familia zetu. DCs na DEDs mkiteuliwa msihamie na familia zenu kwenye vituo vya kazi. Nendeni wenyewe, mtaziponya na masimango na Huzuni.