Poleni familia ya Mwinyi

Poleni familia ya Mwinyi

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,010
Napenda kuwapa polen familia ya mh. Mwinyi popote pale walipo pamoja na jamaa na marafikiduniani tunapita akuna anaejua siku wala saa ila cha muhimu ni kujiandaa nimemsikiliza leo mtangazaji kibonde wa clouds fm akaanza kwa kuongea mengi tu lakini ya zaidi akafika sehemu akasema duniani tunapita na kila mtu ataondoka.

Lakini kifo chake mjukuu huyu kukielezea ni vigumu na kuhuzunisha naamini kimaadili hakustahili lakini kama wadau tunaitaji kujua je mjukuu wetu amefariki na nini?

Na kama kuna mhusika amehusika nini kinachofuata.

Narudia tena poleni sana familia ya mh. Ali Hassan Mwinyi, Mungu awatie nguvu wakati huu mzito.
 
Leo epfhraim kibonde atakuwa anajua zaidi ndio maana akasema ni vigumu kuelezea akiwa huku anaweza kutujuza zaidi...polen sana
maana yangu sikupenda amwongelee kwenye redio mhusika alietangulia mbele za haki aijalishi amekufaje
 
C wote tunamsikiliza kibonde(clouds) ulipaswa kutoa taarifa kamili
 
Nenda msibani kaulize amekufa kwa nini,mpitie na Kibonde wako muende...!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom