Stolen sovereignty ? It wasn't.
It was surrendered sovereignty
We gave it away.
Mamlaka, amana, utajiri, na fursa za nchi tukasema tutagawana na ka kisiwa kasiko na mchango wowote kwetu.
Modern day Zanzibaris, the mold of Samia Suluhu Hassan, wanahakikisha mgawanyo huo ni nusu kwa nusu
Watetezi wa Mwalimu wananambia haikuwa nusu kwa nusu wakati wa Mwalimu.
Okay, alisimamia yeye binafsi yasiwe nusu kwa nusu.
Bado ni utopolo kichwani mwa Mwalimu, a fat headed blunder. Catastrophic stupidity.
Kwa sababu ni doctrine ile ile wakati alivyosema ningekuwa fidhuli mngekoma, ningeweza kuwachinja kama kuku kwa kutumia katiba hii hii. Okay, tunaelewa. Ahsante Msamaria.
Sasa ulitegemea ukiondoka inakuwaje ?????????
Umetoka umeacha mfumo unasoma Rais anaweza kuagiza mlawitiwe wakati wowote lakini mimi naondoka sijawafira. Haya, polisi sasa wanasema Rais ameagiza watu wafirwe na wauliwe. Wakenya waliokamatwa Kempiski Hotel waliambiwa hivyo. Nasema uongo ?????
Kwa hiyo Nyerere alitulinda tusibakwe na Wazanzibar lakini akatuacha tumeshaandaliwa, tumevuliwa nguo, tumepakwa mafuta, akaondoka. Julius Nyetere was complicitous in the rape and pillage of his own nation by Zanzibar.
Tanganyika union with Zanzibar is, in the annals of nation states formation, the most retarded decision of all.