nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
hahahahhaha sijapaniq mkuu kuna f@la mmoja hapo juu amekuja anacheza rede mbele yangu alafu amevaa msuli tu, sasa mm hizo mishe sipo!Mbona umepanik mkuu
Ndio matatzo ya mashabiki wa mmoroco
hahahahhaha sijapaniq mkuu kuna f@la mmoja hapo juu amekuja anacheza rede mbele yangu alafu amevaa msuli tu, sasa mm hizo mishe sipo!Mbona umepanik mkuu
Ndio matatzo ya mashabiki wa mmoroco
Oya uzi wangu pendwa barca siuoniSwali kutoka kwa anayejiita mfuatiliaji wa mpira
Kwani alipoifunga Brazil Hatrrick hajaitetea?
Rekebisha swali vizur
Tofautisha club international trophy na international trophyKwani Uefa ni national trophy
uefa haina tofauti na CLUB BINGWA AFRICA, hata Samatta na Ulimwengu thomas wanalo hilo kombe!Kwani Uefa ni national trophy
mbona upo hapo juu kwenye stickOya uzi wangu pendwa barca siuoni
Ay mmeukacha
Toka jana nawatafuta siwaonimbona upo hapo juu kwenye stick
alikuwa anacheza peke ake??Mtoa uzi ni wakusikitikiwa
Unawezaje mpa pole Messi wakat katika hao wachezaji wote yeye ndiye kaongoza kwa kuitetea nchi yake
Nafikiri unalolijua ni la Messi kuifikisha Argentina Copa America mara 2 na World cup mara 1
Kwa niaba wanaomchukulia King Messi juujuu ni hivi
Messi Kaifikisha Argentina Final ya Copa America mara 3
Kaifikisha Argentina Final world cup
Kaipa ubingwa wa Fifa world cup u23
Kaipa ubingwa wa Copa America u20
Kaipa ubingwa wa Olympic
MESSI SI MTU WA MCHEZO MCHEZO
KILELENIweka kombe mezani PNC 1 acha kutokwa mapovu as if umemeza uyoga wenye sumu!
cr7 Uefa euro 2016!
sanchez copa america 2016!
messi................
ameifikisha ameifikisha ameifikisha ameifikisha ameifikisha ameifikisha ameifikisha ameifikisha! nini????,
FC Barcelona Special ThreadToka jana nawatafuta siwaoni
Mmeambiwa wekeni makombe hapo,mnaleta mboyoyo.Labda amshinde Messi kwa hereni
Wanafanya kusudi. Wanaambiwa hata Sanchez kabeba trophy, Mess hamna. Hawataki.Tofautisha club international trophy na international trophy
Mbona mashabiki wa Messi hamjui mpira hivo!!!
Pep wa la liga sio huyu wa epl.Pep ndo usimguse hiyo ni habari nyingne unazungmzia kocha bora kuliko wote ulimwenguni EPL mpaka sasa yuko vzr kama unabisha waulize wakongwe wa ligi watakwambia
Malizia kabisa. Mess hana international trophy.iwe alicheza dakika moja ama mbili haiondoi ukweli kuwa cr7 ana UEFA-EURO 1.
Hiyo red inatosha kuonesha wewe si shabiki wa mpira bali ni shabiki wa MessiSwali kutoka kwa anayejiita mfuatiliaji wa mpira
Kwani alipoifunga Brazil Hatrrick hajaitetea?
Rekebisha swali vizur
utakesha mkuu kusemezana na msukule wa messi,Hiyo red inatosha kuonesha wewe si shabiki wa mpira bali ni shabiki wa Messi
na hiyo blue rekebisha mwenyewe na ujijibu mwenyewe maana unataka kuulizwa maswali ambayo majibu yake unayo kichwani
Sio MTU wa mchezo mchezo BwanaMtoa uzi ni wakusikitikiwa
Unawezaje mpa pole Messi wakat katika hao wachezaji wote yeye ndiye kaongoza kwa kuitetea nchi yake
Nafikiri unalolijua ni la Messi kuifikisha Argentina Copa America mara 2 na World cup mara 1
Kwa niaba wanaomchukulia King Messi juujuu ni hivi
Messi Kaifikisha Argentina Final ya Copa America mara 3
Kaifikisha Argentina Final world cup
Kaipa ubingwa wa Fifa world cup u23
Kaipa ubingwa wa Copa America u20
Kaipa ubingwa wa Olympic
MESSI SI MTU WA MCHEZO MCHEZO
Kwani Messi anacheza Rugby ?Hiyo red inatosha kuonesha wewe si shabiki wa mpira bali ni shabiki wa Messi
na hiyo blue rekebisha mwenyewe na ujijibu mwenyewe maana unataka kuulizwa maswali ambayo majibu yake unayo kichwani
Nimeijua Barcelona kabla ya Messi Ronaldinho Kluivert Saviola na hata huyu Enrique kabla ya Figo kutusaliti na hata hatumtegemei Rivaldoutakesha mkuu kusemezana na msukule wa messi,
yeye yupo tayari hata barcelona ipoteze hata mechi ila messi apige chenga, kanzu & tobo roho yake inakuwa nyeuuupeeeee kwa raha zake!