Pole sana Jakaya Kikwete

Pole sana Jakaya Kikwete

Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake, kumkatalia Lowassa kuwa rais? Kwani CCM ingekuwa inataka Lowassa awe rais, JK angeweza kuizuia CCM. Acheni unafiki, JK hajamsaliti rafiki yake, ni CCM ndio ilikataa.

Piga mswaki ukalale, maana walau uwe na kinywa kisafi kwani akili yako sio safi hata kidogo na dhaifu sana
 
Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake, kumkatalia Lowassa kuwa rais? Kwani CCM ingekuwa inataka Lowassa awe rais, JK angeweza kuizuia CCM. Acheni unafiki, JK hajamsaliti rafiki yake, ni CCM ndio ilikataa.
Unajua nguvu za Mwenyekiti wa CCM?
 
Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake, kumkatalia Lowassa kuwa rais? Kwani CCM ingekuwa inataka Lowassa awe rais, JK angeweza kuizuia CCM. Acheni unafiki, JK hajamsaliti rafiki yake, ni CCM ndio ilikataa.
Nakubaliana na wewe, ata magufuli alijaribu kumuweka mwinyi kama mgombea mwenza akazidiwa na ccm. Ikabidi aweke samia
 
Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake, kumkatalia Lowassa kuwa rais? Kwani CCM ingekuwa inataka Lowassa awe rais, JK angeweza kuizuia CCM. Acheni unafiki, JK hajamsaliti rafiki yake, ni CCM ndio ilikataa.
Mwalimu nyerere alikua na uwezo gani wa kukata jina la JK na kuweka la mkapa
 
Kikwete ni shujaa sana, aliliepusha taifa na Fisadi Mkuu. Kwenye list of shame ya CHADEMA fisadi E. Lowasa alikuwemo, ulitegemea Kikwete ambebe mtu kama huyo!
 
Huyu bwana anastahili pole kubwa sana, humu kila mtu anadai eti ni mnafiki kwakuwa alimsaliti Lowassa kuwa rais wa nchi, hivi naomba kuuliza, JK alikuwa na mamlaka yepi ya yeye peke yake, kumkatalia Lowassa kuwa rais? Kwani CCM ingekuwa inataka Lowassa awe rais, JK angeweza kuizuia CCM. Acheni unafiki, JK hajamsaliti rafiki yake, ni CCM ndio ilikataa.
Hata alipogombea urais kupitia chadema alichezewa na msaliti
 
Back
Top Bottom