Poa karibu ukifika uliza nurse Zanten Olomi yuko zamu akusaidie mwambie mimi ni mjomba wa Pastor AchachandaNaenda kucheck afya tu
Huyo yupo zamu ya usiku au?Poa karibu ukifika uliza nurse Zanten Olomi yuko zamu akusaidie mwambie mimi ni mjomba wa Pastor Achachanda
Yupo mchana huuHuyo yupo zamu ya usiku au?
No ni uchovu wa kazi tuNesi kapata ZIKA nini!!
Yupo mchana huu
Anahudumia hospitali gani huyu mkuu?
Mkuu kwa maadili ya kazi yetu ni ngumu kukupa taarifa hizo ila karibu kwa matibabuAnahudumia hospitali gani huyu mkuu?
Vp namba yake ya simu, unayo?
Ugonjwa wangu anaweza kuutibu yeye tuMkuu kwa maadili ya kazi yetu ni ngumu kukupa taarifa hizo ila karibu kwa matibabu
Daaaaah mjomba. Nesi hatibu. Yeye anakuhudumia sawasawa na maelekezo ya daktari. Au wewe homa yako ni ya kulazwa moja kwa moja tukupe kitanda?Ugonjwa wangu anaweza kuutibu yeye tu
PoleWacha Mungu tu aitwe Mungu ,hii kitu hii
Yaani kwenye mawazo tu nishambinua binua dada wa watu
Dah mbona hii pole kavu hivi ?Pole
Mimi huwa natibiwa na manesi wa kike tu.Daaaaah mjomba. Nesi hatibu. Yeye anakuhudumia sawasawa na maelekezo ya daktari. Au wewe homa yako ni ya kulazwa moja kwa moja tukupe kitanda?
Na wewe ni nesi?Nesi ni kama customer care ukimwona kamoyo kanapaswa kadunde dunde.
Ndo ivo tena masomo hayo wazuri wengi yanawagonga, wangeruhusu div zero tungeenjoy sana.
Masomo hayakunishinda, tatizo ni kushika makalio ya watu ndo sipendelei mkuu.Na wewe ni nesi?
Au masomo yalikugonga?