freshgirl
Senior Member
- Jan 5, 2018
- 123
- 129
- Thread starter
- #221
Sawa kila la kheri na roho yako ya kwanini
Sawa kila la kheri na roho yako ya kwanini
Tuone na huo uzushi wenu mtafika wapi
Hivi Aikambee na ww ulikuwepo Dubai?
Unaamin vp kila uzushi unaouskia usiwe mjinga wew?
Na kama sio kweli utasema nn, kuweni waelewa, mnafata ya mange kimambi kama alikuwepo tumieni akili
Kyasaka wanaumwa baada ya kusikia kyasaka mwenzako kawekwa mtu kati na jamii inataka ukweli uwekwe wazi.
Acheni kuweweseka mende ninyi
Ukweli hani au ulikua kimada cha Mengi nini, Linda Rinda lako kijana acho shobo na mali za wanaume wenzio. Utagongwa tako kama mzinga wa konyagi.
Hamna anayemuua mtu, sema wanasingiziwa Sana cause ikitokea kifo kikatokea mwanamke wa kichaga hawez kukubali kudhulumiwa Mali na mashemeji au yeyote, na wakishanyimwa ndo wanaanzaga kusingizia mtu ameua.Kila jamii inayo sifa nzuri na mbaya mnapozungumzia sifa mbaya za wengine nanyi zenu zinajulikana na kuzungumzwa
Wanawake wa kichaga wanajulikana tabia yao ya kuua waume zao ili wapate mali
Na nyie pia muache uzwazwa wa kuamini kila mnaloambiwaMimi nilidhani tayari report imetoka na kuonyesha hakuna chochote kilichotendeka dhidi ya mzee. Kumbe hata wewe unadhani tu!!. Binadamu ni MTU mwenye siri mno moyoni uwezi kumtambua kwa kumtazama.
Na itakuwa vizuri wasikutag
Yaani ukiangalia situation hii huamini kirahisi unaenda zanzibar kwa holiday unarudi mfu.Sema usiogope ila tuu yawe ya kweli sio unakurupuka ili mradi uvute attention za watu huku unaumiza hisia za wengine
Alafu ukute ni jinaume hilo lijituWacha kiherehere cha kujikuta umeumia kuzidi watoto wa marehemu na kuwapangia sijui upuuzi wa mila sijui kitaeleweka sijui takataka gani kwa kujivisha ukabila. Yule ni Don sasa wewe kapuku jikute unamjuajua kijinga jinga utapasuliwa katikati ya matter_core shauri yako.
Kwendraaa na generalisation yako.Kila jamii inayo sifa nzuri na mbaya mnapozungumzia sifa mbaya za wengine nanyi zenu zinajulikana na kuzungumzwa
Wanawake wa kichaga wanajulikana tabia yao ya kuua waume zao ili wapate mali