Tumeona mlivyojitolea kusaidia waathirika wa Gongo la Mboto na jinsi media yetu na serikali zinavyojitahidi kuwabania
Hizo ndio changamoto zenu na naomba sana msivunjike moyo
soma post number saba
namtumia PM Kitila aje atujuze zaidi kwani mimi si msemaji wa CDM wala CCM.... ila kwa community yetu tumeweza kutoa damu, nguo na pesa kupitia shirika lisilo la kiserikali
Jumanne tunakwenda Majole kuangalia kama tunaweza add any value...
Kwanza mie nahisi kichefuchefu na huyu farisayo wanayemuita spika wa bunge,mambo yake ya kuilinda sisiemu mbele ya maslahi ya taifa, tumuombee mjaa na majanga. Amen
Umeeleza taarifa ya NGO moja kutoa misaada lakini bado haujaeleza Chadema imefanya nini kuwasaidia hao Wahanga mpaka isitangazwe ata na gazeti la Tanzania Daima.
ndg yangu Butola hujaelewa kitu gani mbona jamaa kaeleza vizuri tu au unataka malaika ndio waje kukuelimisha?
@Butola; uko sahihi kabisa kwa upande wako... nimesema uliyoyasoma na kuonyesha jinsi walivyobaniwa, ila nimezungumzia ya NGO kwani hayo ninaweza kuyasema wani mimi nimdau wa moja kwa moja... Hayo ya CDM mkuu wanabaniwa na ninatumaini kwamba wataleta updates humuhumu
Kama ningekua ni msemaji wa chadema, basi ningesema waliyofanya,
tusubiri wataelezea zaidi, ila wakishindwa hadi kesho, mie ntaweka