Pokea huu wimbo

Pokea huu wimbo

Ole wako unidanganye, na kwakuwa deni ni la muda mrefu nitaitaji na riba kabisa.
..tutaanza na nini vile, madikodiko...(((((nisiseme mengi nikapeperusha ndege wangu wa weekend.
....then ndio nitaanza kulipa madeni yote, jmosi hadi jpili usiku si nitakuwa nimemaliza kweli..
 
Hahhahaha mie ni msemaji mkuu wa boss atoto. Kwa hiyo Nipo kazini hapa, so lazima nitenganishe maisha/misimamo yangu binafsi na kazi. Nisipokomaa ntalipwaje mshahara?
mwisho utakuwa na tabia za bosi wako..
mi naangalia tu, afu nitamuita nanihii athibitishe live on air!!
 
Hahhahaha mie ni msemaji mkuu wa boss atoto. Kwa hiyo Nipo kazini hapa, so lazima nitenganishe maisha/misimamo yangu binafsi na kazi. Nisipokomaa ntalipwaje mshahara?

Sikukosea kukuajiri, nitaongeza mshahara.
 
Last edited by a moderator:
..tutaanza na nini vile, madikodiko...(((((nisiseme mengi nikapeperusha ndege wangu wa weekend.
....then ndio nitaanza kulipa madeni yote, jmosi hadi jpili usiku si nitakuwa nimemaliza kweli..

Whaaaat!! Hakuna deni kwanza ndio mengine utafikiriwa

mwisho utakuwa na tabia za bosi wako..
mi naangalia tu, afu nitamuita nanihii athibitishe live on air!!

We hebu muache, utamlipa mshahara ohoooo!
 
mwisho utakuwa na tabia za bosi wako..
mi naangalia tu, afu nitamuita nanihii athibitishe live on air!!
Hapana brod darlin. Huyu amekuwa ni boss wangu kwa mwaka wa kumi now, na sijabadalika kwa chochote teh shahidi yangu nanhii. Atakwambia tu mie bado mtoto mzuri milele daima
 
Hivi kumbe mtongozo bado unaendelea? atoto plz kuwa na huruma, dogo anakufa kwa kumnyima vitu vitamu...
Wewe ibra87 kama upo karibu na bahari naomba uende ukaoge uondoe gundu...

Unauliza Jibu kaka, mimi naishi kigamboni karibu na Chadibwa beach na Maji nishayaoga sana
 
Last edited by a moderator:
Whaaaat!! Hakuna deni kwanza ndio mengine utafikiriwa



We hebu muache, utamlipa mshahara ohoooo!

Naomba Niitie Apologise Lady au mwambie Anipm muda wowote
 
Wewe ibra87 si ulisema umepata mbunge wa viti maalumu, sasa kunani tena waja kumlili mke wa manga L????????
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom