ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
- Thread starter
- #41
Heaven Sent habu njoo unitafsirie hii mambo mie hata sielewi.
Huo ni Ujumbe Nilipewa na Bro Manga ML nikufikishie
Last edited by a moderator:
Heaven Sent habu njoo unitafsirie hii mambo mie hata sielewi.
Mkuu Kama Vitu vya Zamani Vinaachwa basi Nadhani Niwakati wa Kuachana na Ile staili ya Kifo cha mende maana imepitwa na wakati
Yan hao jamaa wambie wajipange tena waje na bids yenye pesa ndefu...
Na sio kuleta nyimbo hayo ni mambo ya kizamani
Aaah Huwezi hata kumuelewa kabisa. Maneno yote hayo hajataja "PESA". Topic ishakuwa ngumu
Mwambie Atoto nishamtilia 2mil kwa Ac Yake
Anazunguka tu mbuyu. Hafunguki hata akaelewekaWeeeeh usiniambie!! Mie nikajua anaulizia account number nusura nimtumie.
Naona unaambukizwa taratibu lakini kwa hakikaAnazunguka tu mbuyu. Hafunguki hata akaeleweka
Anazunguka tu mbuyu. Hafunguki hata akaeleweka
Naona unaambukizwa taratibu lakini kwa hakika
Nyimbo nitasikiliza kwa redio si ndio shem langu? Afanye mambo ya ukweli eti!!
We muache tu aimbeeee mpaka akauke sauti wakati suluhisho rahisiiii
We nawe hebu nilipe kwanza lile deni langu.
Mmmmmh...