Plot inauzwa fasta kwa Million4.1 tu!!!!!

Plot inauzwa fasta kwa Million4.1 tu!!!!!

Mvaa Tai

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2009
Posts
6,157
Reaction score
4,454
Wadau mwenzenu nina shida ya fedha ya haraka nimepungukiwa kama Million nne, nipo Dar nimeamua kuuza Plot yangu fasta, Ipo Dodoma ni kiwanja cha mradi kilitolewa na CDA katika mradi wa April 2006, nilinunua kwa mtu Mwaka 2008 na kupata hati miliki kwa jina langu March 2009. Ni eneo lililokwisha endelea kwani Tayari kuna mitaa ya watu wanaishi, nimekilipia kodi ya ardhi mpaka mwaka wa fedha 2013/14.

Ukubwa wa kiwanja ni Sq Metre 631. Kipo Chidachi West, block 'F' ni walkable distance kutoka St John University, Bei ni
Tshs Million 4.1 Hatimiliki ninayo hapa Dar sitaki dalali, kwa mnunuzi wa kweli ani-PM ili utaratibu wa kukiona ufanyike akiridhika tufanye biashara, kwa aliye Dodoma nitamuelekeza akakione mwenyewe kwani ni rahisi kufika nikimpa namba ya Kiwanja, akiridhika anistue.


APDETS

Mvaa Tai, mkuu umeuza au bado?

Sijauza bado watu kama watatu wamekuja ofisini kwangu wameona hatimiliki na site map wamekubali ila mchakato wa kwenda kukiona unaendelea wote wamesema wanaenda Dodoma Wikiendi hii kwa maana kuanzia kesho, kwasababu mimi nipo tight hapa ofisini (Dar) nimetoa time kila mtu afanye awezavyo akakione kwa mda wake pale Dom ikiwezekana akawaone na watu wa Ardhi au CD.

Atakayeridhishwa tumalize biashara. Tumia PMs kwa mawasiliano ambayo ni personal kama namba za simu na kadhalika kwasababu sipo mda wote JF, Wakati wa wikiendi nashinda vilabu vifuatavyo, Kibo Complex, Isaje na Fairway. Mmoja nimeshindwana naye anataka kukilipia bila kukiona ila ana ma-complication mengi sana ya kisheria mimi niliyakubali ila kwa ghalama zake, akagoma anataka ghalama za wanasheria ziwe zangu, nimecheka sana ki-deal cha M4 nilipie na mighalama ya Wanasheria walio aghali.
 
Wadau mwenzenu nina shida ya fedha ya haraka nimepungukiwa kama Million nne, nipo Dar nimeamua kuuza Plot yangu fasta, Ipo Dodoma ni kiwanja cha mradi kilitolewa na CDA katika mradi wa April 2006, nilinunua kwa mtu Mwaka 2008 na kupata hati miliki kwa jina langu March 2009. Ni eneo lililokwisha endelea kwani Tayari kuna mitaa ya watu wanaishi, nimekilipia kodi ya ardhi mpaka mwaka wa fedha 2013/14.

Ukubwa wa kiwanja ni Sq Metre 631. Kipo Chidachi West, block 'F' ni walkable distance kutoka St John University, Bei ni
Tshs Million 4.1 Hatimiliki ninayo hapa Dar sitaki dalali, kwa mnunuzi wa kweli ani-PM ili utaratibu wa kukiona ufanyike akiridhika tufanye biashara, kwa aliye Dodoma nitamuelekeza akakione mwenyewe kwani ni rahisi kufika nikimpa namba ya Kiwanja, akiridhika anistue.

Mkuu mbona yale maeneo yanaendelea kwa kasi sana mimi mwenyewe nana mjengo pale nilikuwa nihamie soon ila nimehamishiwa kikazi hapa Dar ningalikuwa na pesa ningekuvua hiki kiwanja.
 
Nayafahamu hayo maeneo na CDA wametoa juzi viwanja mbele ya hilo eneo nasikia mafisadi wamevinunua vyote japo bei zilikuwa za kukomoana, nashangaa sana kwanini wamepandisha sana bei ya kununua kiwanja na hata kodi ya kulipia kiwanja imepandishwa yaani kila sqm1 KODI NI Tshs50. wakati ilikuwa flati rate bila kujali ukubwa wa eneo ilikuwa ni total Tshs9000
 
....... na hata kodi ya kulipia kiwanja imepandishwa yaani kila sqm1 KODI NI Tshs50. wakati ilikuwa flati rate bila kujali ukubwa wa eneo ilikuwa ni total Tshs9000

Nadhani ni katika juhudi za kuongeza wigo wa mapato ya Serikali.................Kweli nimeamini pesa imekuwa ngumu sana, huwezi amini mpaka sasa sijapata PM hata moja.
 
kweli pesa ngumu, mie nakitaman sana sema basi tu.
 
kweli pesa ngumu, mie nakitaman sana sema basi tu.

Yaani hii inanipa picha kwamba mawe yamekaa vibaya sana kwasasa, unajua nilipoleta Tangazo hapa na kujidai kwamba sitaki hata dalali nilijua kufikia saa sita mchana nitakuwa nishapata mtu kwasababu bei ninayouzia ipo chini sana ukifaninisha na bei za viwanja vilivyopimwa kwa maeneo yale Ambayo tayari kuna mitaa watu wanaishi. Any way ngoja nitafute means nyingine, ila nimechoka sana
 
Nimeku-PM namba ya jamaa mmoja hana ID hapa anataka muongee kama waweza kupokea kwa Installment mbili
 
Wadau mwenzenu nina shida ya fedha ya haraka nimepungukiwa kama Million nne, nipo Dar nimeamua kuuza Plot yangu fasta, Ipo Dodoma ni kiwanja cha mradi kilitolewa na CDA katika mradi wa April 2006, nilinunua kwa mtu Mwaka 2008 na kupata hati miliki kwa jina langu March 2009. Ni eneo lililokwisha endelea kwani Tayari kuna mitaa ya watu wanaishi, nimekilipia kodi ya ardhi mpaka mwaka wa fedha 2013/14.

Ukubwa wa kiwanja ni Sq Metre 631. Kipo Chidachi West, block 'F' ni walkable distance kutoka St John University, Bei ni
Tshs Million 4.1 Hatimiliki ninayo hapa Dar sitaki dalali, kwa mnunuzi wa kweli ani-PM ili utaratibu wa kukiona ufanyike akiridhika tufanye biashara, kwa aliye Dodoma nitamuelekeza akakione mwenyewe kwani ni rahisi kufika nikimpa namba ya Kiwanja, akiridhika anistue.

Weka namba ya simu bana
 
mkuu pole jamaa nadhani hawana hela ndo maana longo longo mingi
 
Weka namba ya simu bana

Sijataka kuweka namba ya simu Publically kuna watu wanaweza kuitumia vibaya hasa ukichukulia kwamba nikishafanya hii transaction namba zangu hazitatakiwa tena kukaa public, Kama upo willing ingia PM tubadirishane mawasiliano
 
jamani ndugu zangu mimi mwenyewe nina plot naiuza ipo dodoma,nkuhungu karibu na shule ya sekondari mnadani,bei ni m6 anayehitaji atanilipa kwa enstallment 3.PM yako ni ya muhimu nina shida kubwa sana kiwanja kina Hati!ninahitaji m2 kabla ya tarehe 7/8 mods naombeni msaada wetu tafadhali!
 
jamani ndugu zangu mimi mwenyewe nina plot naiuza ipo dodoma,nkuhungu karibu na shule ya sekondari mnadani,bei ni m6 anayehitaji atanilipa kwa enstallment 3.PM yako ni ya muhimu nina shida kubwa sana kiwanja kina Hati!

Nakuombea upate japo Pm moja inayoonyesha nia
 
Yaani hii inanipa picha kwamba mawe yamekaa vibaya sana kwasasa, unajua nilipoleta Tangazo hapa na kujidai kwamba sitaki hata dalali nilijua kufikia saa sita mchana nitakuwa nishapata mtu kwasababu bei ninayouzia ipo chini sana ukifaninisha na bei za viwanja vilivyopimwa kwa maeneo yale Ambayo tayari kuna mitaa watu wanaishi. Any way ngoja nitafute means nyingine, ila nimechoka sana

Usawa umekaa vibaya mkuu, hata mimi hiyo bei nimeipenda na sehemu kiwanja kilipo ni superb, tatizo mawee! Utapata Mteja mkuu, ondoa shaka, tatizo labda shida yako ni ya fasta!
 
Usawa umekaa vibaya mkuu, hata mimi hiyo bei nimeipenda na sehemu kiwanja kilipo ni superb, tatizo mawee! Utapata Mteja mkuu, ondoa shaka, tatizo labda shida yako ni ya fasta!

Asante kiongozi!!
 
Back
Top Bottom