Please Kikwete, just resign

Please Kikwete, just resign

mh hii kali kuna mtu anayependa maisha mabovu ya kuachia ngaz
 
Mtoboasiri, nini maana ya uongozi?. Ni rahisi sana kuandika, kusema na kulalamika, lakini kile kiti si mchezo ndugu yangu. Kuongoza watu zaidi ya millioni 40 si kazi ndogo hata kidogo?. Tungetoa mawazo nini kifanyike pale tunapoona kumefanyika makosa ingesaidia zaidi kuliko kutoa kashfa. Tuna uhuru wa kusema ama kuandika mawazo yetu hasa katika kipindi hiki cha JK. Ni vyema kutumia nafasi hii vizuri.
Hashauriki nchi isingefikia ilipofika
 
ajiuzuru ushike wewe nchi? acha upumbavu kijana. hii ndio faida ya kuingia JF baada ya bia za harusi.
Usimtusi huyo ndugu, kila mmoja wetu ana haki ya kutoa opinions. Ila tu tuwe wavumilivu JK amalize awamu yake ya II, si sawa waungwana ?
 
Mheshimiwa pole na majukumu japokuwa nchi haiko shwari kutokana na mgao wa umeme, mvurugano ndani ya CCM na sasa JAIRO nae ametibua kabisa, natumani PM wako atakuwa amekupigia jana kama alivyotuahidi.

Well, mimi naelewa Rais wa nchi ni lazima asafiri nje ya nchi tunataka au hatutaki japokuwa watanzania wanalalamika eti safari zako hazina tija yoyote kwani maisha ya Mtanzania yako vile vile duni.

Najua leo uko south Africa kikazi katika kujadili maswala ya uchumi na Rias wa RSA Jacob Zuma, mbaya zaidi hii imeingiliana birthday ya kiongozi anaehishimika duniani ndugu Madiba. Watanzania wamesha anza kupiga kelele kwamba umekwenda RSA kwenye birthday na huna ziara yoyote ya kiofisi. Wachache tumejaribu kukutetea kwamba hukwenda huko kwa ajili ya bithday ila inakuwa ngumu sana kwetu kwani wanasema tusubiri kwenye vyombo vya habari utaonekana kwenye birthday.

OMBI - Najua Zuma baada ya kikao chenu atakualika kwenye sherehe lakini JK PLZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ usikubali kabisa kuhudhuria mdanganye hata kwamba kuna report za nyumbani utakuwa unazisoma. Mimi pia ni wa pwani hivyo najua sherehe ni jadi yetu ila tafadhali kwenye hili. I want to prove them wrong
 
Mbona u mkweli kiasi hicho???????????? Uchungu, uchungu, Watanzania wenzangu wa kuongozwa na serikali usioipigia kura, jamani uchungu!!!!!!!!
 
Hahah...r u sure hii haikutakiwa kwenda jokes!???
 
No, shouldn't be in joke's forum, I want JK to prove you guys wrong.
 
Its not eze kwa huyu jk wa pili? Nmjua saana mambo yetu bills enzi hizo siamini kama kapunguza saaana,
lazima Audhurie, So ata Prove "not Wrong " = Right.
Kazii ni Kwako , Toa uamuzi wa JaaaaIlo huko huko, au nae mshikajii!!
 
GAZETI LA MWANANCHI : Keshokutwa, Rais Kikwete na ujumbe wake watakwenda Cape Town, ambako miongoni mwa mambo mengine ujumbe huo utatembelea Kisiwa cha Robben ambako wapigania uhuru maarufu wa Afrika Kusini, akiwamo Rais Mstaafu Nelson Mandela, walifungwa kwa miaka mingi na makaburu. Rais Kikwete atarejea nyumbani keshokutwa asubuhi.''''''''

HUYO NAYE RAIS AU DIWANI?? NCHI IMEPATWA NA MWEZI........RAIS KAPIGA OSTRICH
 
hivi hii safari si Zuma kalipia au? Manake si yeye ndiyo kamwalika?

Jamani msishanage yaani hali ni mbaya sana maana ni bora tuanze hata kuona hizi safari za mkuu wetu zisitishwe kwanza tuongezee hela tununue mtambo huo wa Megawatts 100. Kulala giza usiku mzima na watoto wadogo utafikiri tupo Jehanam inakera sana tena sana.

Sasa hivi mwanangu wa miaka 2 umeme ukikatika tu anaanza kulia -- baba memeeee, baba memeeee - inauma sana hii kitu. Baba yake na mi nguvu ya kununua generator sina basi kero tupu.

 
Mheshimiwa pole na majukumu japokuwa nchi haiko shwari kutokana na mgao wa umeme, mvurugano ndani ya CCM na sasa JAIRO nae ametibua kabisa, natumani PM wako atakuwa amekupigia jana kama alivyotuahidi.

Well, mimi naelewa Rais wa nchi ni lazima asafiri nje ya nchi tunataka au hatutaki japokuwa watanzania wanalalamika eti safari zako hazina tija yoyote kwani maisha ya Mtanzania yako vile vile duni.

Najua leo uko south Africa kikazi katika kujadili maswala ya uchumi na Rias wa RSA Jacob Zuma, mbaya zaidi hii imeingiliana birthday ya kiongozi anaehishimika duniani ndugu Madiba. Watanzania wamesha anza kupiga kelele kwamba umekwenda RSA kwenye birthday na huna ziara yoyote ya kiofisi. Wachache tumejaribu kukutetea kwamba hukwenda huko kwa ajili ya bithday ila inakuwa ngumu sana kwetu kwani wanasema tusubiri kwenye vyombo vya habari utaonekana kwenye birthday.

OMBI - Najua Zuma baada ya kikao chenu atakualika kwenye sherehe lakini JK PLZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ usikubali kabisa kuhudhuria mdanganye hata kwamba kuna report za nyumbani utakuwa unazisoma. Mimi pia ni wa pwani hivyo najua sherehe ni jadi yetu ila tafadhali kwenye hili. I want to prove them wrong

Umenena hata mwenzake waziri mkuu wa UK amekatisha safari ya SA kukabili matatizo ya nchini kwake
 
Halaaaa kumbe jadi yenu ni sherehe? sikujua basi kuanzia leo sintamlaumu JK tena!
 
No, shouldn't be in joke's forum, I want JK to prove you guys wrong.

The most gigantic mistake that you bro JK "me namwita Ba mkwe" has , he doesn't take matter seriously

Msuya kasema kuwa mkapa kamwachia jamaa 'JK" mzigo na yet anaendelea kucheka cheka tuuu sasa unategemea wananchi watakuonaje

Na Bday ya madibha atahudhuria nawambieni anapenda sana kuji pendekeza, yani hapo hakuna cha plzzzzzzzzzzzzz dont go me nasema let be ili utabili na ule mzimu wa Mwl.Nyerere uwakumbe vyema hawa viongozi warafi Nyerere hakukosea jamani yule mzeee basi tu Mungu ni Mwema siku zote
 
Mheshimiwa pole na majukumu japokuwa nchi haiko shwari kutokana na mgao wa umeme, mvurugano ndani ya CCM na sasa JAIRO nae ametibua kabisa, natumani PM wako atakuwa amekupigia jana kama alivyotuahidi.

Well, mimi naelewa Rais wa nchi ni lazima asafiri nje ya nchi tunataka au hatutaki japokuwa watanzania wanalalamika eti safari zako hazina tija yoyote kwani maisha ya Mtanzania yako vile vile duni.

Najua leo uko south Africa kikazi katika kujadili maswala ya uchumi na Rias wa RSA Jacob Zuma, mbaya zaidi hii imeingiliana birthday ya kiongozi anaehishimika duniani ndugu Madiba. Watanzania wamesha anza kupiga kelele kwamba umekwenda RSA kwenye birthday na huna ziara yoyote ya kiofisi. Wachache tumejaribu kukutetea kwamba hukwenda huko kwa ajili ya bithday ila inakuwa ngumu sana kwetu kwani wanasema tusubiri kwenye vyombo vya habari utaonekana kwenye birthday.

OMBI - Najua Zuma baada ya kikao chenu atakualika kwenye sherehe lakini JK PLZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZZ usikubali kabisa kuhudhuria mdanganye hata kwamba kuna report za nyumbani utakuwa unazisoma. Mimi pia ni wa pwani hivyo najua sherehe ni jadi yetu ila tafadhali kwenye hili. I want to prove them wrong
NOT ENOUGH hapo ni sawa unampigia mbuzi kinanda, kwenye birthday lazima aende na kesho ataenda Robben Island kushuhudia alipofungwa Madiba enzi hizo. Sie tuendeleze tanta-lila zetu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom