Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Uliutaka urais na ukaupata.
Hakuna heshima nyingine tena utakayoipata zaidi ya hii uliyoipata ya kuwa rais wa taifa letu. Nakusihi kama kweli unaipenda nchi yetu achia madaraka ili mwingine nae ajaribu. Bwana mkubwa, ukiendelea kwa mtindo wako wa uongozi ulio nao hata vitukuu vyako vitaona aibu kuhusishwa na wewe. Fanya uamuzi wa kishujaa na taifa zima litakusifu.
JIUZULU NA JENGA MAZINGIRA YA KUACHIA MADARAKA KWA HESHIMA
Hakuna heshima nyingine tena utakayoipata zaidi ya hii uliyoipata ya kuwa rais wa taifa letu. Nakusihi kama kweli unaipenda nchi yetu achia madaraka ili mwingine nae ajaribu. Bwana mkubwa, ukiendelea kwa mtindo wako wa uongozi ulio nao hata vitukuu vyako vitaona aibu kuhusishwa na wewe. Fanya uamuzi wa kishujaa na taifa zima litakusifu.
JIUZULU NA JENGA MAZINGIRA YA KUACHIA MADARAKA KWA HESHIMA