shasil alonso
Member
- Mar 12, 2013
- 27
- 1
habari ndugu zangu! Mi niko poa, ila mi mwenzenu sina kazi yoyote ya kunipatia kipato, nisaidieni wadau
Jieleze vizuri natafuta dereva wa kunipeleka kazini
Nitakutafutia dereva usijali mama
Njoo curio and craft tufanyee biashara za mikono dogo...mbona mi lasaba ila hata chuo kikuu hawaniambii kitu,kwa fani yangu ya mkono
Nitakutafutia dereva usijali mama
Hiyo fani ya mikono ndo ipi au ubondia?
Si uende ukaione fani ya mikono...!?
UNAOGOPA NGUMI....HAPANA hiyo pia ni kazi...ila situnasuka culture na tunawauzia wazungu hadi dola miaHiyo fani ya mikono ndo ipi au ubondia?