Please help me on how to write a cover Letter

bahaticaro

Senior Member
Jul 20, 2012
100
31
Wanajamvi,

Naomba mnisaidie mwongozo wa kuandika Cover Letter.
========================

Nimependa jinsi Mafuluto hapo juu alivo elezea... Cover letter ni moja ya njia ya kujinadi kama bidhaa vile; kwamba wewe ni bora kuliko bidhaa yoyote ile nyingine iliyopo hapo ama inayo jinadi pia. Unaonesha ubora na umuhimu wako kiufundi kwa vithibitisho pia. For instance ukisema wewe ni bigwa wa wa research inatakiwa unataja wewe ni bingwa wa research tokana na kwamba umeshafanya nyingi huku ukitaja mifano ya maeneo ya research uliyofanya ili isionekane ni maneno hewa.

Ni kama vile unajielezea wewe ulivo katika eneo husika (unaloliombea nafasi, iwe kazi ama kitu chochote husika); Huku ukiambatanisha kwa maelezo yale ambayo yapo katika CV in relation na yale ambayo unaweza.
 
tutajie elimu yako! maana kunasiku mtu wa diploma aliandika cover latter hatari! ningeiweka hapa mngecheka
ili jitahidi kugoole kupata different style za cover latter
 
Jamani msimtukane, ni matokeo ya sera za kyama cha Dhaifu, na upuuzi wa mawaziri mabinamu akina Kalambwa..ooops Kawambwa !Huyu ni mpuuzi kama yule Gasia au yule kiazi injinia Matomato... !!

Ndg, cover letter unaandika kufafanua kiundani CV yako : Una uzoefu gani ktk nafasi husika, gusia skills na experience- what you did in your current and/or previous jobs- zinazoendana haswa na kazi unayoomba. Mfano: unaweza kusema when I worked as a personal assitance to Chagonja, one of my roles was to help his waifu to collect money from different people as she tapeli that his hubby will help them to get employed by Usumbufu wa Taifa. I also helped them to store money in simtanks and designed other ways to safely store the money..!! So unaonyesha kuwa wewe ulifanya nini haswa.. :)

Onyesha kwa nini wewe unastahili hiyo kazi- why you are the best candidate, na hakikisha ni one page na kila para inawasilisha sifa/uzoefu tofauti.
 
Jamani msimtukane, ni matokeo ya sera za kyama cha Dhaifu, na upuuzi wa mawaziri mabinamu akina Kalambwa..ooops Kawambwa !Huyu ni mpuuzi kama yule Gasia au yule kiazi injinia Matomato... !!

Ndg, cover letter unaandika kufafanua kiundani CV yako : Una uzoefu gani ktk nafasi husika, gusia skills na experience- what you did in your current and/or previous jobs- zinazoendana haswa na kazi unayoomba. Mfano: unaweza kusema when I worked as a personal assitance to Chagonja, one of my roles was to help his waifu to collect money from different people as she tapeli that his hubby will help them to get employed by Usumbufu wa Taifa. I also helped them to store money in simtanks and designed other ways to safely store the money..!! So unaonyesha kuwa wewe ulifanya nini haswa.. :)

Onyesha kwa nini wewe unastahili hiyo kazi- why you are the best candidate, na hakikisha ni one page na kila para inawasilisha sifa/uzoefu tofauti.

Umemaliza mkuu
 
Inakuaje unatukana mawaziri,we mbona unaijua chini ya waziri gani kama sana hao?,sasa hapo ni juhudi za mtu binafsi bwana kujua kitu,tusipende kulaumu laumu tu!, NDIO MAANA NYERERE ALISEMA WATU WANAPENDA KULAUMU LAUMU TU!,HATA SURUALI YA MTU IKIWA NA KIRAKA HUYO MTU ATAILAUMU SERIKALI
 
Usiwe lofa wewe, naijua sababu nimesoma chini ya waziri wa Kagame, sio huyo dhaifu, muuaji huku akijifanya anachekacheka !! Huyo Kalambwa sababu ni ndg yake lkn hana sifa za kuwa hata katibu kata... na amesaidia sana kuivuruga wizara ya elimu...

Inakuaje unatukana mawaziri,we mbona unaijua chini ya waziri gani kama sana hao?,sasa hapo ni juhudi za mtu binafsi bwana kujua kitu,tusipende kulaumu laumu tu!, NDIO MAANA NYERERE ALISEMA WATU WANAPENDA KULAUMU LAUMU TU!,HATA SURUALI YA MTU IKIWA NA KIRAKA HUYO MTU ATAILAUMU SERIKALI
 
Nimependa jinsi Mafuluto hapo juu alivo elezea... Cover letter ni moja ya njia ya kujinadi kama bidhaa vile; kwamba wewe ni bora kuliko bidhaa yoyote ile nyingine iliyopo hapo ama inayo jinadi pia. Unaonesha ubora na umuhimu wako kiufundi kwa vithibitisho pia. For instance ukisema wewe ni bigwa wa wa research inatakiwa unataja wewe ni bingwa wa research tokana na kwamba umeshafanya nyingi huku ukitaja mifano ya maeneo ya research uliyofanya ili isionekane ni maneno hewa.

Ni kama vile unajielezea wewe ulivo katika eneo husika (unaloliombea nafasi, iwe kazi ama kitu chochote husika); Huku ukiambatanisha kwa maelezo yale ambayo yapo katika CV in relation na yale ambayo unaweza.
 
Last edited by a moderator:
Inakuaje unatukana mawaziri,we mbona unaijua chini ya waziri gani kama sana hao?,sasa hapo ni juhudi za mtu binafsi bwana kujua kitu,tusipende kulaumu laumu tu!, NDIO MAANA NYERERE ALISEMA WATU WANAPENDA KULAUMU LAUMU TU!,HATA SURUALI YA MTU IKIWA NA KIRAKA HUYO MTU ATAILAUMU SERIKALI

nyerere hakuwa mungu, ni mtanzania kma ww! Kla m2 ana uhuru wa kuwaclsha mawazo yke
 
Usiwe lofa wewe, naijua sababu nimesoma chini ya waziri wa Kagame, sio huyo dhaifu, muuaji huku akijifanya anachekacheka !! Huyo Kalambwa sababu ni ndg yake lkn hana sifa za kuwa hata katibu kata... na amesaidia sana kuivuruga wizara ya elimu...
Usiwe lofa wewe, Ha matusi tena ya nini,eeh! huyo waziri kagame alikufundisha kutukana nini!, Kwenye taaluma huwa tunatofautiana kwa hoja na si kumtukana mtu!,kutoa matusi ni udhaifu wa kuishiwa hoja
 
CV yenyewe nayo ipo vizuri? wengine hata hiyo cover letter hawatazami mpaka wajiridhishe na CV! cover letter any consultant can do for u!
 
Na wewe huyo Kalambwa ndiyo kakufundisha kuwa hayo ya suruali na viraka au ndiyo hapo taaluma yako ilipofika ukomo ?? Yaani wakisema wenye taaluma utatoka mbele na ww ??

Usiwe lofa wewe, Ha matusi tena ya nini,eeh! huyo waziri kagame alikufundisha kutukana nini!, Kwenye taaluma huwa tunatofautiana kwa hoja na si kumtukana mtu!,kutoa matusi ni udhaifu wa kuishiwa hoja
 
Jamani msimtukane, ni matokeo ya sera za kyama cha Dhaifu, na upuuzi wa mawaziri mabinamu akina Kalambwa..ooops Kawambwa !Huyu ni mpuuzi kama yule Gasia au yule kiazi injinia Matomato... !!

Ndg, cover letter unaandika kufafanua kiundani CV yako : Una uzoefu gani ktk nafasi husika, gusia skills na experience- what you did in your current and/or previous jobs- zinazoendana haswa na kazi unayoomba. Mfano: unaweza kusema when I worked as a personal assitance to Chagonja, one of my roles was to help his waifu to collect money from different people as she tapeli that his hubby will help them to get employed by Usumbufu wa Taifa. I also helped them to store money in simtanks and designed other ways to safely store the money..!! So unaonyesha kuwa wewe ulifanya nini haswa.. :)


Onyesha kwa nini wewe unastahili hiyo kazi- why you are the best candidate, na hakikisha ni one page na kila para inawasilisha sifa/uzoefu tofauti.

Mkuu hapo kwenye red umenichekesha mpaka mbavu zikauma.
Big up umempa mfano mzuri!
 
Na wewe huyo Kalambwa ndiyo kakufundisha kuwa hayo ya suruali na viraka au ndiyo hapo taaluma yako ilipofika ukomo ?? Yaani wakisema wenye taaluma utatoka mbele na ww ??
Mmh!,Inaonyesha usemi wa nyerere umekugusa,iyo ni kawaida kupitia maneno ya watu mashuhuri kama reference!,kama ulikua ujui,ndio hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom